christian bella wa wazee wa masuti wa akudo akizindua albamu yake usiku huu new msasani club, dar. hakika amedhihirisha yeye ni muzee wa masauti kwa jinsi albamu hiyo ilivyopokewa
mashabiki wakimtuza christian bella kwa kazi nzuri
andrew sekidia akipapasa kinanda kwa pozi wakati wa uzinduzi huo
wakung'uta mipini wa akudo wakiwajibika katika kuzindua albamu ya christian bella





Jamani hiyo nchi yetu si bora iitwe'united republic of ZAIN'manaake kitu ZAIN siku hizi!!!
ReplyDeletendio wenye hela na wako juuu ,sasa mmeanza na wivu wenu na choyo,waache wtambe ..mbona Tigo ilitamba sana miaka hiyo na hamkusema,sasa na anayeifanya iwike ndio aliyetoka kushoto kwenda kulia unategemea nini sasa katika kusikika kwao.
ReplyDeletehuyu Andrew Sekidia alisoma O level Tambaza miaka ya 1989-1992?
ReplyDeleteSasa we anony mjinga mjinga wa juu ulitakaje? Pumbafu kabisa! nini point yako hapo!
ReplyDelete