tid a.k.a prison voice akiwa na bendi yake ya top band akighani usiku huu stereo bar ya kinondoni hananasifu alikoandaa bash la mwaka mpya. hapo anaimba kibao chake kipya kiitwacho 'usijifanye kidume, utaswekwa jela' kinachoelezea ubaya ya ubabe na uzuri wa kuendeleza tabia njema katika jamii. anaongezea kuwa yeye ameshaonja jela na amenyooka na sasa amekuwa mtoto mzuri na atatumia muda wake kuelimisha jamii tabia njema. angalia video yake kwa kubofya hapa
wadau wa uswazi kibao walishuhudia bash hili la tid na top band
palikuwa hapatoshi tid na vijana wake wa top band ulingoni kwenye mkesha wa mwaka mpya usiku huu







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Home sweet home....hii ndio inanifanya nimiss bongo....hebu ona picha ya tatu. watu wako freely wanachenza nje tu bila shida.....Yaani sisi huko nje ni baridi ya kukata na shoka, na pia snow imeyeyuka maji kila mahali.. Nilikua niende kuangalia wakishusjha ball lao times square lakini ilinibidi nibaki tu ndani niangalie kwenye TV. Kupanga foleni toka saa moja usiku na baridi hii sio jambo jema kabisa na baridi na upepo ulioko huko nje.....lakini sasa niko ndani nako ni toooooooooo boring.....nimesoma blog hii na comment zote leo

    Happy new year

    ReplyDelete
  2. Usijifanye kidume!! kweli TID umejua kwamba hasira hasara

    ReplyDelete
  3. alileta mchezo kumbe kakanyaga pa moto,,mtoto wa kigogo ivi dah!!pole sana
    heshima ni bure kwa kila mtu haijalishi,,,usiangalie mwonekano wa nje ukamdharau mtu weeee hujui ni nani uyo!!!au yuko ofisi gani wal'hahi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...