Kaka michuzi a.k.a vipi?libeneke lako naliona jinsi linavyokimbiza kuna ka deal hapa kamenitoa sasa nimeona ni vyema tukashare na watanzania wangu
BIG DEAL FOR 2009
KWA MA-UNDERGROND NA MASTAA WENYE VIPAJI VYA MZIKI BONGOALL GENRE HIP HOP, GOSPLE ETCFIKISHA NYIMBO ZAKO DUNIANI ZISIKILIZWE NA MAMILION YA WATUNI WAKATI MZURI KWA WENYE VIPAJI KUTAMBULIKA NA KUTOKA KIMATAIFAFUNGUA ACCOUNT YAKO YA BURE KWENYE SONG CAST LABLE NA UANZE SASA CLICK
Mdau USA


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...