Ndugu Wanajumuia,
Kwa niaba ya mwanajumuia mwenzetu Fadhili Tuguta.Ambaye amefiwa na baba yake mzazi Mzee Mwalimu Musa Yohana Tuguta,Jitihada zinafanyika ili kusafilisha mwili wa Marehemu nyumbani kwa mazishi.
Ili kufanikisha hilo Kutakuwa na harambee Siku ya Jumapili Tarehe 15/Feb/2009 Saa Kumi jioni Mahali ni SAFARI HALL Address ni
9651 Bissonnet,
Houston,
Tx 77036.
Msaada wako wa hali na mali unaitajika mwanajumuiya.
Mfiwa anapatikana katika Address hii
14515 Briar Forest Apt 1822,
Houston,
TX ,
77077
na simu ni 713-2591211.
Mfiwa kwa sasa yupo Dallas ambapo marehemu alikuwa amelazwa mpaka kifo kilipomfika,atakuwepo hapa Houston kuanzia Ijumaa hivyo tufike kumfariji katika kipindi hiki kigumu sana kwake.
Pia kuwakuwa na kuudwa kwa kamati itakayosimamia suala zima la msiba huu hivyo tujitokeze hiyo Ijumaa jioni saa Moja.
Kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana na wafuatao:-
Fadhili Tuguta 713-259-12112
Daudi Mayocha 832-641-03553-
Lulu Rajabu 832-723-99424
Manzi Ulimwengu 281-935-92075
Simon Makangula 713-384-0255
Kama Ilivyo ada wakina Baba/kaka Vinywaji na Wakina Mama/dada Chakula
Makangula Simon
Tanzania Houston Community



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...