Home
Unlabelled
mkutano mkuu wa cuf waanza leo dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Habari za kazi Mr Michuzi? pole na kazi.
ReplyDeleteNapenda kuwakaribisha watanzania popote pale walipo duniani kuchangia mawazo yahusuyo maendeleo ya nchi yetu kwa ujumla kwenye ka blog kangu kachanga. Blog yenyewe ni kama ifuatavyo:
www.malkiory-matiya.blogspot.com
Mdau,
Matiya.
JANA USIKU NILISHANGAA KUONA VYOMBO VYA HABARI HAVIKUONA UMUHIMU WA KUTANGAZA UZINDUZI WA MKUTANO WA CUF WAKATI VYOMBO HIVYOHIVYO VIKO MBELE KUDAI HAKI YA KUPASHANA HABARI! BAADHI YA VYOMBO HIVYO VILIVYOWEZA KUTANGAZA HAVIKUUPA MKUTANO HUO UMUHIMU WOWOTE, HERI YA ITV AMBAYO HAIKUONA SABABU YA KUUTANGAZA KABISA ZAIDI YA KUTUMIA ZAIDI YA ROBO SAA KUMTANGAZA MENGI! HALI HII INAWEZEKANA INATOKANA NA CUF KUTOKUWA NA BAHASHA AU MSOSI KWA WAANDISHI HABARI.
ReplyDeleteNawashauri vyama vya kisiasa vya upinzani kuanzisha TV zao, redio na magazeti, ili muweze kujitangaza , kwani wenzenu wanawatilia vitumbua vyenu mchanga kwa kupitia mitandao hii
ReplyDeleteM3