

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mwanzo Park iko Pemba au Mtwara?
ReplyDeleteWewe michizi umekuwa kwenye jounalism kwa muda mrefu lakini hujui unafanya nini, Mwanzo park iko wapi? Dar, Mwanza au
ReplyDeletedah mtoto keshamaliza trip?michuzi mbona ulitubania japo anwani yake?
ReplyDeleteni kweli ivi iko wapi ichi kitu
tukavinjali sisi
Iko Bujumbura-Burundi
ReplyDeleteMnapotoa hizi ticket muwe mnatoa mbili maanake ilibidi amuache nyumbani kipenzi chake
ReplyDeletewee annon
ReplyDeleteuyu hana mpenzi wala nini!!mtoto bado mbichiiiiiiii yani pure kabisa wee ukumwona ile picha ya awali yenye mshawasha?
mtoto damn damn dah!
mashallah!!!
ReplyDeleteunajua nilikua sijaona mguu
huyu wa kagera huyu wala si mtwara.
uongozi wa hoteli wamejitahidi kutengeneza mandhari nzuri kwa sehem ambayo iko nje ya mji,naomba kujua nikitaka kufatwa airport ni gharama gani.
ni pazuri na mandari inapendeza.
ReplyDeleteni bagamoyo au mkuranga???
panaonekana sio city centre
sasa mimi ndio mpenzi wake na nilienda nae.sitaki muendelee kuomba kontakti alaaaa
ReplyDeletebaada ya hapa lazima utaanza kujiita rt obama.maana wahaya hamchelewi kuunga majina.
ReplyDeletemimi ni yule mdau niliyekuahidi safari ya bagamoyo.sasa umerudi nitakufata jumamosi nikupeleke.na nitakuendesha mwenyewe sio mwenyekiti wako.
ReplyDeletenilijua changa la macho,kumbe kweli umeenda?hongera sana.humo kwenye mapori hakuna ngedere kweli?
ReplyDeletemwanzo park ipo kunduchi kama sikosei
ReplyDeletesasa na wewe uwe mjanja,hao mwanzo wasije kukutumia kwenye matangazo yao halafu wasikulipe.mimi nitakua wakili wako.actually this is my profeshno.
ReplyDeletehongera sana kwa kutuwakilisha vyema.
ReplyDeleteby mdau fb
wizi mtupu!!!
ReplyDeleteenzi za mwalimu watu walikua wanabebana wooote kundi zima mnafanya ujamaa mnaenda kutembelea hoteli mbalimbali...lakini sasa mpaka mchague wawakilishi muwapigie kura ndio aende huko...wizi mtupu
nimeipenda swimming pool,
ReplyDelete