RT (kijasti cheusi) akitembezwa Mwanzo park Lodges wikiendi ilopita
Mdau Rita Tabaro a.k.a RT ambaye alijinyakulia tiketi ya kushiriki Usiku wa Chakula cha Mwafrika pale katika lodge matata ya Mwanzo Park, usiku wa tarehe 31/1/2009, hatimaye ameshaifanya ziara hito na kuinjoi ipaswavyo. RT pia anajinyakulia huduma ya bure ya malazi katika chumba chenye hadhi ya daraja la kwanza hapohapo Mwanazo Park. Ziara hii iliwezeshwa kwa juhudi za kijiji maarufu cha wadau kiitwacho
fotobaraza.ning.com
kwa habari kamili
kwa picha na habari zaidi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. Mwanzo Park iko Pemba au Mtwara?

    ReplyDelete
  2. Wewe michizi umekuwa kwenye jounalism kwa muda mrefu lakini hujui unafanya nini, Mwanzo park iko wapi? Dar, Mwanza au

    ReplyDelete
  3. dah mtoto keshamaliza trip?michuzi mbona ulitubania japo anwani yake?
    ni kweli ivi iko wapi ichi kitu
    tukavinjali sisi

    ReplyDelete
  4. Iko Bujumbura-Burundi

    ReplyDelete
  5. Mnapotoa hizi ticket muwe mnatoa mbili maanake ilibidi amuache nyumbani kipenzi chake

    ReplyDelete
  6. wee annon
    uyu hana mpenzi wala nini!!mtoto bado mbichiiiiiiii yani pure kabisa wee ukumwona ile picha ya awali yenye mshawasha?
    mtoto damn damn dah!

    ReplyDelete
  7. mashallah!!!
    unajua nilikua sijaona mguu
    huyu wa kagera huyu wala si mtwara.

    uongozi wa hoteli wamejitahidi kutengeneza mandhari nzuri kwa sehem ambayo iko nje ya mji,naomba kujua nikitaka kufatwa airport ni gharama gani.

    ReplyDelete
  8. ni pazuri na mandari inapendeza.
    ni bagamoyo au mkuranga???
    panaonekana sio city centre

    ReplyDelete
  9. sasa mimi ndio mpenzi wake na nilienda nae.sitaki muendelee kuomba kontakti alaaaa

    ReplyDelete
  10. baada ya hapa lazima utaanza kujiita rt obama.maana wahaya hamchelewi kuunga majina.

    ReplyDelete
  11. mimi ni yule mdau niliyekuahidi safari ya bagamoyo.sasa umerudi nitakufata jumamosi nikupeleke.na nitakuendesha mwenyewe sio mwenyekiti wako.

    ReplyDelete
  12. nilijua changa la macho,kumbe kweli umeenda?hongera sana.humo kwenye mapori hakuna ngedere kweli?

    ReplyDelete
  13. mwanzo park ipo kunduchi kama sikosei

    ReplyDelete
  14. sasa na wewe uwe mjanja,hao mwanzo wasije kukutumia kwenye matangazo yao halafu wasikulipe.mimi nitakua wakili wako.actually this is my profeshno.

    ReplyDelete
  15. hongera sana kwa kutuwakilisha vyema.
    by mdau fb

    ReplyDelete
  16. wizi mtupu!!!
    enzi za mwalimu watu walikua wanabebana wooote kundi zima mnafanya ujamaa mnaenda kutembelea hoteli mbalimbali...lakini sasa mpaka mchague wawakilishi muwapigie kura ndio aende huko...wizi mtupu

    ReplyDelete
  17. nimeipenda swimming pool,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...