Home
Unlabelled
taifa stars yatua dar leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
oya t-shirt yangu niliyokuomba nikiwa wapi.co.tz iko wapi kaka......na je huyo jamaa hapo alikuwa analia ama lah umbea tu....?Picha ya pili kati.
ReplyDeleteWadau, ingawa nimechanganya mambo. Naomba mwenye kufahamu ilipo SANITARIAM CLINIC, nataka kumwona Dr Isack Ndodi. Huyu Dr alikuwa anahojiwa saaana Channel Ten. Mara ya mwisho alisema yuko Mwembechai, nimefika pale, kibao anachosema kipo kuelekeza alipo, sikioni. Tafadhali! Just write here, I will read.
ReplyDeletedah mwakalebela mtu unayejishughulisha na michezo unaachiwa mwili hivyo kaka?? unafikiri jamii inajifunza nini kutoka kwako kaka?? samahani kama hujapenda ila nimuono wangu tu.
ReplyDeleteMr Lugano, hiki kitambi si cha afya, this is obesity! Fanya mazoezi and you do not practice what you are preaching!!
ReplyDeleteDu kaka yangu Fredric punguza kitambi. Ukikilea hicho kitakuletea matatizo kaka. Nakumbuka jinsi ulivyokuwa na mwli mzuri kipindi unaishi Wilolesi Iringa
ReplyDeleteMy friend unayemtafuta Dr. Ndodi don't ask his sema Halelluya Clinic for sure hakuna mtu asiyepafahau. nenda tena uliza yeyeyote Haleluya Clinic ni wapi.
ReplyDeleteanafahamika kwa jina hilo sana.
SANITARIAM Clinic sio wengi wanao ifahamu. niulize swali out of this mada, hivi nyie taifa star mlibeba darkblue suti za nini? vaeni nguo zenu za michezo mnajidai mmekuwa kina Ardebayor wakati bado kabisaaaaaaaaa.
Lakini mlijitahidi bwana hongereni. ukiuma kidogo halafu unapuliza.
Mwakalebela mfano gani huu tena !
ReplyDeleteSuti umeshindwa kuvaa ,hata mazoezi ya kutoa kitambi pia yumekushinda ?
Hata tai ,aibu hiyo ,utawaambia nini hawa wadogo zetu wanaochezea stars ?
Wabongo kwa kupenda vitambi,ukiwa na kitambi tu basi wewe ni pedeshee.
ReplyDeleteHuyu jamaa ana kitambi ama ni mavi tu yamejaa humo.Nadhani anakoishi hakuna maji ya kutosha hivyo anaenda haja kubwa kwa msimu kubana matumizi ya maji.Akili ni nywele.
ReplyDeletewadau mie nauliza tu,hivi huyu kocha MAXIM anaongea lugha gani?
ReplyDeleteLazima niwalaumu Taifa Stars kwa "Uzembe" na "over confidence",kuvimba kichwa kwa mafanikio ya muda mfupi kiasi cha kupoteza ushindi dakika za majeruhi kabisa,wakati walikuwa na kila uwezo wa kushinda mechi ile na kuingia nusu fainali.Kitu muhimu walichofanikiwa Taifa Stars ni kututoa aibu watanzania kwamba hata sisi tunaweza kutoa timu yenye uwezo wa kushinda katika michuano ya kimataifa.Makosa yaliyofanyika lazima yafanyiwe kazi na kurekebishwa na lazima tujiimarishe zaidi kwa kutafuta vipaji vipya zaidi.Maximo anastahili kupongezwa kwa mafanikio yaliyopatikana na kwa kuwajenga vijana wetu kisaikolojia zaidi na hata katikamfumo wa uchezaji.Halikuwa jambo rahisi.Penye ukweli lazima tuseme bila hiyana.Uzembe huo hatutaki utokee tena,tunajua ilikuwa bahati mbaya,Stars walijiamini kupita kiasi kwamba kwa sekunde zile zilizosalia walikuwa wameshashinda.Kumbe katika Soka mambo hayako hivyo.Mtu anaweza kufungwa hata zikisalia sekunde MBILI!Ushindi ni pale Kipenga cha mwisho kitakapo pigwa!
ReplyDeletemaximo speaks spaninlishi (spanish+inglish ya brazil)
ReplyDeleteor brazil-kreole
me uwa simuelewi kabisa,zaidi ya neno footballee,we goooo basi!!