
ALI KIBA AKILAKIWA NA MC JUDY MARA BAADA YA KUTUA NAPOLI

ALI KIBA AKIJIDAI NA FULANAZZZ YA SEE WEAR

ALI KIBA AKIWA NA PROMOTER RICKY J.G BONDO

ALI KIBA AKIWA NA MSANII MPYA WA KIZAZI KIPYA BONGO FLAVA ANAEISHI ITALY MAVUMBI, AMBAYE KATIKA SHOW ALITOKA NA SINGLE YAKE "UHAKIKA" feat:SARA SEE ,SINGLE YA MAVUMBI ITASIKIKA HIVI KARIBU KATIKA REDIO STATION HUKO NYUMBANI NA EUROPE.


MAUA KWA ALI KIBA

WADAU KIBAO WA NAPOLI WALIJITOKEZA KUMLAKI ALI KIBA
I like this, flowers for our artist! Sio mnapiga mapicha tuu, you have to show them some love and embrace the fact they are superstars!
ReplyDeleteEEee bwana huyu " MAVUMBI" ana uhusiano na sheikh Mkuu wa mkoa wa Tabora "Sheikh Mavumbi" wa pale mabatini karibia na Tambukareli.
ReplyDeleteBig up kama ndiye maana si lazima mtu urithi kazi ya baba/babu yako.
İNATİA MOYO , KEEP İT UP ALİ KİBA
ReplyDeleteMmmh mwaka wako ali kiba.
ReplyDeleteUGHAIBUNI KOTE TUNAKUFAGILIA ALI KIBA MWENYE WIVU AJINYONGE TU
ReplyDeletepicha ya juu kabisa, wote wameziba macho na mikofia wanaonana kweli?
ReplyDeleteUSHAURI WA BURE KWA ALI KIBA NA WASANII WENYE KUPATA KIPATO CHA KUELEWEKA, NENDENI SHULE HUKU MNAFANYA MUZIKI WENU, KWANI KAZI YENU NI NGUMU SANA NA PESA MNAZOPATA HAZITOSHI KUSTAAFU WAKATI MNA UMRI HUU MDOGO. IGENI MFANO WA MWANAfa, MIKE-T, C-PWAA, NK....MSILEWE NA SIFA, WANAWAKE NA STAREHE ZA MUDA MFUPI, NADHANI MIFANO HAI MMEIONA KWA BAADHI YA WASANII WENZENU KAMA MR NICE NK, KUPOROMOKA NI RAHISI SANA KAMA HUNA KIZINGITI CHA ELIMU AU MALIGHAFI ZA KUWEKEZA.
ReplyDeleteNI HAYO TU.
RUDI NYUMBANI INATOSHA, SOMA KAMA ULIVYOAMBIWA NHAPO JUU. MTOTO HUSHOKI KUPAYUKA.
ReplyDeletewadau kibao? nimehisabu na numba niliyopata siamini inakubalika kama ni kibao
ReplyDeleteAli K, unazidi Kuwa HOT, Come back to Washington,Dc.NAKSHI NAKSHI,NICHUM BASI.I Love your Music.Hongera.
ReplyDeleteMimi napenda kuuliza machache tu hapa kuhusu huyu ali kiba na bongo flava yake. Hivi yeye anapiga chombo gani vile??? na hii miziki ya bongo flava mbona wanafani hiyo(siwaiti wanamuziki maana najua hawajui hata kupiga chombo kimmoja) mbona nyimbo za zinafanana fanana?? au ndo wanaprove kuwa bongo kila mtu mwanamuziki.....hata kama hajui kuimba au apigi ala yoyote?? jamani kama alivyosema mdau hapo chini nendeni shule.
ReplyDeleteKAMA WEWE UMEAMUA KWENDA SHULE NENDAAAA,MUACHENI MTOTO WA WATU, KACHAGUA KAZI YAKE KUWA MWIMBAJI MUACHENI, NDO ANAPOPATA RIZIKI YAKE KAMA AMBAVYO WEWE"ULIYESOMA" UNAVYOTUMIA ELIMU YAKO, SHULE SIO YA KILA MTU,WANGAPI MAMILIONEA AU WANA MAISHA MAZURI NA HAWAJUI HATA KUANDIKA, LEAVE HIM ALONE, HATERS!!
ReplyDeleteJamani mnaambiwa kupanga ni kuchagua.
ReplyDeleteElimu haipatikani bure. Kwa hiyo mwenzetu kachagua apige myuziki kwanza ... labda akizichanga kiasi fulani ndio anaweza kufanya mambo mengine ikiwemo kutafuta elimu atakayoona inamfaa.
Wabongo tusikariri kwamba muziki sio dili. Kuna watu wakiona mtu kawa msanii wanaona kapoteea, halafu wao wakiwa wanapiga buku ndio wanajiona wamepatiiiia.
Maisha hayana formula bwana.
ivi italy kuna JUA KALI ivo picha #3
ReplyDeletekiba umetalii,umesafisha jicho!!safi sana for being sooo exposed to tht world!!
promoterz safi sana kuwakumbuka watoto wa bongoland-home kwakweli kuliwaza watu uko kwenye box za kufa mtu
kisamvu,nyanya chungu,tembele lipo?
teheteheteheee, mudogo wangu ari kiba kipu iti apu. ila nakupa ushauri wa bure kamna kaka ako, ebooo. hiyo mihela unayopata kwenye shoo zako hebu nunua begi jingine, wee vipi, sio unakuja uraya na begi ra shule, ebooo, henoheeno, wazimu kitu gani.
ReplyDeletethe living legend.