
Wapenda burudani wamekuwa wakiimiss hii kitu toka La Taverna kuwa kwishnei na wenyewe wanasema ukifika BULLDOGS (masaki) meter kama 500 hivi kutokea international school ya masaki ni lazima ukubali.
ANGALIZO: DJ Bonny Luv aliyetangazwa kuwa atakwenda Marekani karibuni kwa ajili ya shoo kadhaa amesema yeye bado yupo Bongo na hana mpango wa kusafiri kwenda kokote hivi karibuni. Kwa mdomo mwingine BONNY LUV atakuwepo BULL DOGS kila Jumamosi kama kawa..
jamani mbona nyinyi mpromota wa marekani mnatuyayusha mara ooh bon luv atakuwa EASTER PARTY DALLAS TX, mara ooh nah they didnt U 1& JT PRODUCTION TUNAMLETA WICHITA KS,SASA TUELEWE VIPI? MBONA ANASEMA HANA MPANGO NA USA? MDAU YOYOTE MSAADA ASANTENI!
ReplyDeleteJamani Hiyo bulldogs haina kibao??? nimeitafuta mara kadha wa kadha mchana na usiku nimeshindwa kuitrace, msaada jamani,au kibao chake ni kidogo sana???? ahsanteni
ReplyDeletekama DJ bon lov haji na sisi HATUJI KWENYE PARTY nyinyi mapromota inadidi muanze sasa kusema ukweli,na tiketi za ndege tulishaka.
ReplyDeleteInaonekana huyu promota wa Marekani hana mpango. Je Bon luv atakuwa EASTER PARTY DALLAS TX? Au atakuwa BULL DOGS? Mbona amesema hana mpango wa kusafiri kwenda kokote??? Mapromota tuambieni ukweli.
ReplyDeleteNA DJ VENCHA MBONA HAPIGI!AU YEYE NI BONGO FLAVA TU
ReplyDeleteMdau hapo juu, ukiwa international school masaki, unafata hiyo barabara ya haile sellasie road moja kwa moja mpaka unafika pale kuna george the dragon, unakata mkono wa kushoto unanyoosha moja kwa moja mpaka utaona kibao kikubwa cha savanna dry, kinaonyesha bulldogs iko mkono wa kulia ->->umefika
ReplyDelete