Home
Unlabelled
kip-lefti ya twin tawazzz yapata sura mpya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nabii wa Uongo, Mtakatifu Yohanna Mashaka,
ReplyDeleteNadhani ulikuwa Tanzania, na hilo shimo uliliona, tunaomba uandike atiko hapo ili wadau wachangie.
Nataka wale wafuasi wako wa dhehebu lako la later day "doom"
Una- brain wash Tanznia nzima hata na mashimo???
Mdau from USA
Yoyo
Ni vema Minara Pacha ikaanza kutumika hivi hivi, kimya kimya kama alama ya hasira na masikitiko ya watanzania kwa gharama kubwa isiyo na sababu ya kuijenga ambayo imeingia kwenye matumbo ya watu.JK, wala kiongozi mwingine yeyote, asiingie kubariki kwa kukubali kufungua jengo lililojengwa kifisadi, wakati huduma za afya zimedorora, maji safi hakuna, umeme wa kusuasua, elimu ni duni mno. Aidha itakuwa ni fundisho kwa wanaojenga majengo mengine ya umma na wanaotumia pesa ya umma kifisadi.
ReplyDeleteWakati maandalizi ya ufunguzi rasmi yakifanyika, ninapendekeza ibatizwe 'LIYUMBA KEEP-LEFT'
ReplyDeletehahaaa,liyumba keep left imetulia
ReplyDeletehongera kwa viongozi wetu wema wa tanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ReplyDelete