adam lusekelo akiwa kisiwa cha robben nje ya cape town huko sauzi ambako nelson mandela alifungwa kwa miaka 26
adam akiwa katika selo ya mandela
adam na watalii wenzie katika kisiwa cha robben
habari njema ni kwamba adam lusekelo ambaye amekuwa akivunja mbavu wadau kwa miaka nenda rudi kwenye gazeti la sunday news na hata daily news sasa naye kaamua kuingia mtandaoni rasmi na vimbwanga vyake utavipata kupitia:
adamlusekelo.blogspot.com
na unaweza kuwasiliana naye kupitia

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. usikose kutembelea stellenbosch kwa wine test table mountain cape point na location pia kona moja inaitwa kwa Mzoli place siku nzuri jumapili utakutana na watalii wenzako na local people hasa wakina dada walio barikiwa makalio hapo ni kona yetu tamu sana kwa sie tunaoishi hapa utalii mwema pasop na scoliz

    ReplyDelete
  2. Hizi picha zimenikumbusha kitabu cha Madiba "Long Walk To Freedom." Ni kitabu kinachosisimua sana.

    ReplyDelete
  3. Nani kawaambia madiba ni hero wa africa? white man brain wash!! usikose kutembelea kaburi la stivo biko the real un sung hero

    ReplyDelete
  4. na wewe unayesema umesoma kitabu have you ever read the master pic of stivo biko?its rear staff you can not find any jo average library

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...