DIGNA NA FAMILIA YA EMMANUEL SHAYO INAWAKARIBISHA NDUGU,
 
JAMAA NA MARAFIKI KWENYE MISA YA KUADHIMISHA MWAKA MMOJA 
 
WA KUTANGULIA MBELE YA HAKI KWA MAREHEMU BABA YAO
 
ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI MAY 2 SAA TISA KAMILI(3:00PM)

ADDRESS NI 
                 1725 MICHIGAN AVENUE,NE
                 WASHINGTON DC 20017
 
WOTE TUJUMUIKE BILA KUKOSA,
ASANTENI NA KARIBUNI

             

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2009

    Poleni sana. Nitakuja kujumuika nanyi katika ibada hiyo.

    Mdau, Monroe St, NE.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...