mmoja wa washiriki miss maswa 2009
miss maswa 2008
mshiriki wa miss maswa 2009

Kampuni inayoaandaa mashindano ya urembo ya miss Maswa, 

Jackie entertaimnet

 imeibua vipaji vpya vya warembo ambao anaamini watafanya vyema katika mashindano ya mkoa wa Shinyanga 2009.
 
Jackline  amesema kuwa washiriki wa shindano hilo jumla wapo kumi na wako fiti kila idara.
shindano hilo linalooonekana kuwa na mvuto wa aina yake  linatarajiwa kufanyika may 2 ukumbi wa halmashauri Maswa,   ambapo kiingilio kimepangwa kuwa ni 4000 kwa kila kichwa na bia  moja aina ya  redds  kwa watu  100  wa kwanza.
 
amesema kuwa mbali ya hayo pia kutakuwepo na burudani mbalimbali akiwemo msanii wa muziki wa bongofleva Joseline pamoja na rapa mahiri kutoka bandi ya muziki wa dansi ya Fm Academia.
 
wote mnakaribishwa kushuhudia mapinduzi mapya ya urembo ndani ya wilaya ya Maswa  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. jamani kuaw miss sio lazima kuvaa kiswimingpool sebuleni au labda mie mshamba hivi huwa waamuzi wanaangalia mapaja na vifua au?nielimisheni. niliangalia mashindano ya ma Mr sikuona aloonyesha nyeti zake. dada kama hapo ni swimingpool umependeza

    ReplyDelete
  2. Mtu Mzima kidogo,lakini analipa!
    Maswa kumekucha eeh

    ReplyDelete
  3. Wazee wanaruhusiwa kushiriki katika hili shindano? Au ni forever 21?

    ReplyDelete
  4. Mwenye macho na aone a.k.a biashara matangazo.

    ReplyDelete
  5. Mashindano ya umiss nayapenda sana. Vichupi na mapaja nje nje siku hizi.

    ReplyDelete
  6. Maswa wanajua kuwela Lipstick..! naona wote midomo imependeza. Hongereni sana.

    ReplyDelete
  7. Huyu binti kinda kabisa kama anavyoonekana, ndio kwanza ameturn 18 yrs old. Acheni kumwangia jamani.

    ReplyDelete
  8. Jamani watu wamaswa tusifanye umiss tu, tufanye na harambee za kusomesha watoto wetu. kwenye harusi mnakumbuka wazee wetu walikuwa wanaimba, "mwamtwala mwanawise mwamtwala asomile". Sasa hii itawezekana vipi kuimba kama hatusomeshi mabinti zetu. Tuchange tusomeshe mabinti zetu eh.

    ReplyDelete
  9. we got long way to go yaani hawa waishie huku huko shinyanga lets be real...hii fani imeingiliwa

    ReplyDelete
  10. michu wee umeitoa wapi hii picha ya uyu dada???hahahahahahaaaa biashara

    ila mboni kajaa nyama ivo?? ivi uwa mnawaona vile vibinti vya miss world???
    adi unaogopa kumshika asije vunjika

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...