
TETEMESHA ENTERTAINMENT IKISHIRIKIANA NA SHWARI DOT COM, WANAKULETEA 'THE HOUSTON OFFICIAL BONGO AFTER PARTY'. USIKU WA KUJIDAI NA KUCHEZA NGOMA ZA UKWELI KUTOKA KWA MA DJ WA UKWELI, WALE WAPENZI WENYE KIU YA KUCHEZA NA KUSIKIA BONGO FLAVA, OLD SKUL ZA KUANZIA 80's, 90's, 2000's, BOLINGO NA BAKULUTU ZA KUFA MTU BILA KUSAHAU 'NYU SKUL, SASA NDO WAKATI UMEWADIA, NI NDANI YA CLUB ADDIS ABABA (restaurant) ILIOPO NDANI YA HOUSTON
MAHALI : CLUB ADDIS ABABA
ADDRESS: 7668 DE MOSS DR, HUSTON TX 77036
DATE : 2nd MAY
COVER: $ 10 GUYS & LADIES FREE TILL 1:00 PM
TIME: DOORS OPEN FROM 11 PM
DJ KAYCEE a.k.a THA POST & DJ ISSAR (PEOPLES CHOICE)
lazima nitokee ndani ya addis ababa, maana huyo dogo dj kaycee naijua balaa lake akisha shikilia mtambo, anaweza usirudi kwenye kiti mpaka asubuhi. big up dogo endeleza kazi nzuri ya kuburudisha.
ReplyDeleteHouston. Kuna mambo, party zisizoisha .
ReplyDeleteHouston. Kuna mambo, party zisizoisha .
ReplyDeletechema chajiuza kibaya chajitembeza mafuriko haya na party wapi na wapi watu wemeshindwa kwenda kupiga box siku kadhaa leo unawaletea mambo ya party labda sio wabongo
ReplyDeleteLadies free till 1pm??and door open from 11pm,so how will those ladies get in??
ReplyDeleteHuyo Dj Issa ni miyeyushooooo mnoooo...fani ameirukia.....haiwezi... Dj Rex........numero uno
ReplyDelete