Mkuu mpya  wa wilaya ya Ukerewe  Mh. Queen Mulozi Mashinga akila kiapo kwa mkuu wa mkoa wa Mwanza Dkt. James Msekala 
Mkuu mpya wa wilaya ya Kwimba Ryoba Christopher Kangoye naye akila kiapo.
Baada ya kula kiapo wakuu hao wapya wa wilaya za Mwanza katika picha ya pamoja na Mkuu wa Mkoa huo Dk. James Msekela. Kulia ni  mkuu wa wilaya mteule wa  karagwe  Mh. Angelina Mabulla ambaye alikuja kushuhudia kiapo cha wenzake kabla ya kwenda naye kula kiapo chake huko mkoani Kagera. Picha na mdau Frederick M. Katulanda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Kazi nzuri JK, madaktari watumiwe hivyo, endeleza libeneke.

    ReplyDelete
  2. watu wa mwanza bwana.,..utawajua tu
    mkuu usinibanie

    ReplyDelete
  3. Michuzi mimi ni mdau wa Blogu yako wa siku nyingi mno, nakumbuka mwaka jana ulitutangazia umetunukiwa ukuu wa wilaya ya nanihii (teget) Sasa kwanini hukutuwekea picha za kuapizwa kwako? au ndio hukuweza kujipiga picha menyewe?? Ahmed basi angekamilisha zoezi... tehe tehe tehe

    ReplyDelete
  4. ukiwatumia wananchi kwa wote wako wote hakika Mwenyezi Mungu..hakutupi.
    Mama Mlozi ni mfano wa kuiga kwani alikuwa akifanya kazi kwa moyo wa upendo toka pale chuo cha ualimu Morogoro afu DED-morogoro.
    tena sio kwa wafanyakazi tu hata wasio wafanya kazi wa sehemu hizo.

    Mama udumu...

    ReplyDelete
  5. AFANDE MIDAKOApril 07, 2009

    MAMA UKIFIKA NYUMBANI UKEREWE, NENDA KAWAONE WAZEE UKAJITAMBULISHE KWA HESHIMA NA TAADHIMA, NA UFANYE WATAKAYO KWAMBIA

    ReplyDelete
  6. Hongera sana mpendwa wangu Mh.Mabulla mungu akusimamie na kukuongoza kwenye majukumu yako mapya. ni siku nyingi sana hatujawasiliana nawe.

    ReplyDelete
  7. mimi ninachotaka kucomment tu ni kwamba akina dada zetu inabidi waache ulimbukeni wa kudhani nzwele za kizungu ni deal... nimezipenda sana nywel za huyu mama Mabula, sijui kwa nini wadada wetu wanapenda kuvaa mawigi feki ya nywel za kizungu...huwa nikimuona mdada mweusi amevaa wigi huwa najisikia kichefuchefu mpaka basi...
    halafu kwa experience yangu sijawahi kuona kama wanapendeza na hayo mawigi...coy it's so unreal...waangalie mfano wa akina mama kama mongella, asha rose migiro, mama Tibaijuka na huyu...
    halafu wazungu huwa wanawacheka kishenzi, coz u prove to them that u don like ur ethnicity and u want to be them...arrant nonsense!!!
    emergencypoison

    ReplyDelete
  8. we anony wa 5.48pm kwa taarifa yako hata wazungu wenyewe wanavaa mawig sasa hicho kichefuchefu chako sijui kitazidi au kupungua,hiyo unajua wewe ila habari ndio hiyo!!!

    ReplyDelete
  9. Aha!

    Hivi huyu Mh. Queen ndio yule wa idara ya Elimu Morogoro? Mke wa Prof. Mlozi? Mama yake Shogo na Nsolo. Hongera Mama, mimi ni wa SUA. Tumecheza na Nsolo utotoni, Shogo uko wapi?

    Mdau UK

    ReplyDelete
  10. we anony wa 2:01 suali ni kwamba,ulishaona wazungu wanavaa mawig ya afro?...acha kutetea ujinga..

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...