Mkuu wa wilaya ya nanihii nimekutumia picha hapo za janai around saa sita hivi jamaa ambaye hujifanya Ofisa wa TRA katikati ya jiji la Dar na kulamba mshiko wa wenzake leo umemtokea puani.Naomba email yangu iweke kapuni.
Mdau.
'afisa' akipelekwa kwa pilato
'afisa' akiwa kala 'no smoking' ya mbele safarini kwa pilato
akipelekwa mbele ya sheria. bahati yake jamaa
hawakumdunda. wadau tuwe macho na watu wa sampuli hii.
wapo wengi sana kila mahali







































Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Bwana Michuzi hiyo taito yako ya hii habari umekosea.

    Kwa jinsi ilivyo "Afisa wa TRA feki..." inaonyesha kwamba kilicho feki ni TRA na sio Afisa.

    Ili kuonyesha kwamba ambae ni feki ni Afisa taito ingekuwa
    "Afisa Feki wa TRA......"

    ReplyDelete
  2. Al MusomaMay 28, 2009

    Perez, I love that. Good grammar...

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 28, 2009

    Mdau hapo juu nina hakika hata wewe si mkamilifu. Kitu cha kujali ni kwamba ujumbe umekufikia.
    Huyu afisa feki kwani hao watu anaowaendea huwa hawamuulizi kitambulisho? Au anacho kitambulisho feki pia?

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 29, 2009

    watu wengine mna comment za kikuda sasa unadhani kama mtu ukishaambiwa ni afisa feki, maana yake ana makaratasi na vitambulisho feki pia..
    kwani nini maana ya afisa(officer)?
    maanake mtu mwenye kazi yenye kutambulika(inahitaji utambulisho = ID) huwezi kuwa afisa halaf ukawa unauza gongo au wewe ni mangi 24/7

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 29, 2009

    toka lini Perez akajua kiswahili wakati jina lenyewe la kihispania?
    Ili mradi umeupata ujumbe mambo baabkubwa hatujali grammar hili siyo darasa la nahau na methali.. au misamiati..
    au vitendawili
    au nomino..
    au vitenzi..

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 30, 2009

    thanks perez kutujuza kiswahili fasaha. wadau marekebisho ni muhimu watu viswahili vigumu afu hamtaki kukosolewa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...