Katibu Mkuu wa chama cha Riadha nchini RT Suleiman Nyambui akizungumza na wanahabari juu ya Mbio za Vodacom Dar Half Marathon zitakazofanyika juni 21 2009. Kati ni Rukia Mtingwa wa Vodacom na kulia ni mratibu wa mbio hizo, John Manyama

mbio hizo zitaanzia kwenye uwanja wa Taifa na kuishia hapo, amesema wanariadha maarufu mbalimbali wamejiandikisha kushiriki baadhi ya wanariadha hao ni Dickson Marwa (Tanzania)Victory Gatundu (Kenya) Osward Revelini (Tanzania) Samson Ramadhan(Tanzania)Christopher Isegwe (Tanzania) David Kiplagat (Kenya) na wengine wengi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Kaka huyo Rukia Mtingwa nitapataje kontak zake huyo?

    Me huwa ananiuwa sana huyo!

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 08, 2009

    Bi Rukia hujambo? Pole sana kwa kazi.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 09, 2009

    Kwa hakika ina tia moyo sana kuona kuwa hata katika miji yetu nyumbani, watu wanapata muda wa kufanya michezo. Huwa inaniuma sana kuona wenzetu wanafanya sana michezo katika miji yao, huku nje ya nchi, lakini home hakuna unalosikia zaidi ya matatizo na shida za kila siku tu. Hongereni sana kwa kuliona hili. Mimi niko pamoja nanyi, muda si mrefu insh nitajiunga nanyi, tutashauriana na kuboresha zaidi, michezo kama hiyo isifanyike Dsm tu, bali hata mikoani, Mwanza, Tanga, Songea, Pemba nk, najua watu wanapenda ni swala la mikakati tu na kuwapa nguvu. Hii itasaidia sana kuwapunguzia watu muda wa kuwaza mambo magumu muda wote. Hongereni sana wote mnaohusika na kamati za maandalizi hayo, Hongera sana mzee Nyambui.
    Mdau

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 09, 2009

    rukia hali yako dada. mzima wa afya. salamu tu dada katika kujuliana hali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...