Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 12, 2009

    kamanda naona sasa umechoka unatuletea gazti linaloanza na MAJUNGU?il kumbuka kamati ya DR slaaa wajumbe wote ni wabunge wa C C M

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 12, 2009

    Hili gazeti katika kila toleo lake ukurasa wa mbele na habari kuu ni kuhusu Bunge na Wabunge.

    Halafu hakuna kitu kama Kamati ya Dk Slaa kuna Kamati Ya Bunge.

    Pathetic, gazeti limejaa waandishi waliobobea na maprofesa kibao lakini linaandika MICHAPO na MIPASHO.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 12, 2009

    Ah kumbe hili rigazeti naro ni ra CCM na majungu?

    Vipi tena Mjengwa? Si tulijua unaleta kitu cha uhakika.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 12, 2009

    Jamani huu ugonjwa wa tamaa si ugonjwa wa chama wala wa Tanzania. Kuna kashfa inauguruma ya wabunge wa Uingereza hivi sasa- ambayo imewakumba wabunge wote- si mawaziri, si wabunge wa chama tawala si wa upinzani ambao wote wamedhihirika kuwa na madai ya kilafi na ya kifisadi ya allowances. Ni binadamu wachache sana ambao wnaoweza kuwa na nidhamu ya kutosheka na kutojilimbikizia mali isisvyohalali wanapopata madaraka.Hivyo tunachohitaji ni sheriamna taratibu zinazobana na kuminimise ulafi.Hata Slaa ni binaadamu kama sisi tu; na hatua ya kwanza ya kuwa na tartibu zinazofaa ni kuachana na tabia ya woga na tabia ya kutukuza binadam mwenzako!

    ReplyDelete
  5. Kweli vita ya ufisadi sasa imekuwa capitalised. Yaani jamaa kaacha kuandikia gazeti wa watu makini la raiamwema na kuanzisha gazeti la majungu. Aaaaah! ama kweli 2010 imekaribia wenyewe wanasema wakati wa mavuna ila ukiwa umepanda mapema kama vile kuanzisha gazeti n.k.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 12, 2009

    Mjengwa,gazeti hilo ni la mafisadi tu.Wewe mwaka mmoja tu uliopita ulichangisha pesa za kununua kamera-mtaji wa kuanzisha gazeti umetoka wapi?

    ReplyDelete
  7. Mheshimiwa Balozi na Mkuu wa Wilaya

    Nikiwa ni mmoja wa hao maprofesa wanaoandika kwenye gazeti hili, la "Kwanza Jamii," nimevunjika mbavu kusikia nimo katika orodha ya mafisadi. Kweli Bongo tambarare :-)

    Ninapenda kuandika katika gazeti hili na nitaendelea. Baada ya kuandika makala ya kwanza, nilipata taarifa kutoka kijijini kwangu kuwa wanakijiji wameichangamkia makala ile na wanataka niendelee kuandika. Nitafanya hivyo.

    Nafurahi kupata fursa ya kuwasiliana na wananchi vijijini, maana gazeti hili linajitahidi kufika huko. Kwangu mimi kama profesa wa kiIngereza hapa Marekani, kuandika katika gazeti hili ni changamoto ya kujipima uwezo wangu wa kuandika kiSwahili. Ni muhimu kufanya hivyo, kwani wasomi wengi tunajisahau kwa hilo, na hata viongozi wetu wengi hawaonyeshi mfano wa kutumia kiSwahili ipasavyo. Kwa upande wangu, kuandika katika gazeti hili ni namna ya kujifunza na kuwajibika.

    Wanaotaka maandishi yangu katika taaluma ninazoshughulika nazo katika utafiti na ufundishaji, wanaweza kutafuta makala zangu na vitabu, ambavyo taarifa zake ni rahisi kupatikana huko mtandaoni.

    ReplyDelete
  8. MediaViabilityMay 14, 2009

    Mkuu wa Wilaya ya Tegeta.

    Naomba usibane hii comment.

    Kuna kundi fulani la watu limejivika ukamanda wa kupambana na ufisadi na lina mtanado mzuri ila nalo ni la kifisadi.

    Wanachofanya ni kuhakikisha wale wote ambao wana fikra tofauti au ukweli tofauti kwenye vita hii wana wasupress kwa majina mbali mbali mabaya.

    Na ubaya zaidi ni kwamba hao Mabosi wao wakifanya ufisadi watatafuta njia ya kuwasafisha na hawataki waguswe au kusemwa.

    Kwanza jamii msikatishwe tamaa na hao watu, sisi wananchi wa kawaida tunahitaji habari nyingi iwezekanavyo na za kila aina ili tuweze kujua chuya na mhele ni upi

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 14, 2009

    Aisee sasa ndiyo nimejua mengi kweli hii blog ya jamii. Kumbe huyu Mbele ni profesa wa kiingereza marekani?, Mi nilijua yupo pale UDSM kwenye vichwa vya kinoko maana pale ili upate u prof ni lazima uwe unakaribia kustaafu.

    Marekani wao mtu ukiwa unafundisha hata ka chuo ka ufundi tu unaitwa profesa yaani ni kama Bongo tunavyowaita walimu wa shule za msingi.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 14, 2009

    HUYU SLAA NI MNAFIKI SANA ANAGEUKA GEUKA RANGI KAMA KINYONGA MAANA YEYE AKIKATIWA KITU KIDOGO NA MAFISADI ANAANZA KUONGEA PUMBA ZAKE

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...