Home
Unlabelled
maandalizi ya mbio za nyika za vodacom
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
sasa michu na hawa voda wako? tarehe 21 mei si imepita jamani? au ni mwaka ujao? Na huyo wa kushoto mbona hatumuoni?
ReplyDeleteTAFADHALI
ReplyDeleteRUKIA MTINGWA SI MWANAMUME!!!!!!!
"KATIKATI"
Please katikati hauna macho wewe kaka lol! Rukia yupo kushoto !
ReplyDeletehiyo May 21st watapima afya zao au walishapimwa?na huyo Rukia si huyo mrembo wa kushoto?hapo katikati me namwona mwanaume.ama sijui labda macho yangu tu haya ya uzee.acheni kutuchanganyia habari.next time jaribu kusoma tena unachoandika kabla hujaposti.
ReplyDeleteNingependa kutoa ushauri wangu kuhusu habari za michezo katika blog hii.Mara nyingi hua naona ni soccer ndio inapewa kipaumbele,sana sana ligi za ulaya!! sioni habari za michezo ya tanzania kwa ujumla.Michezo iko mingi na sio kila mtu anapenda soccer.ningeomba uwe una report michezo ya aina yote ili tulio nje tuweze kujua tanzania kuna michezo gani ambayo inachezwa na pia hii itasaidia kuitangaza michezo hiyo na wanamichezo wake.nachoshwa na habari za soccer la ulaya.Je, tanzania hakuna wanariadha,wacheza tennis za aina zote,waogeleaji, rugby,cricket,au michezo yoyote tu ambayo inachezwa tofauti na socccer.kwasababu soccer yenyewe inayoongelewa hapa ni ya ulaya tu.Inachosha kwasababu habari za soccer za ulaya zinapatikana kila mahali.
ReplyDelete