malenga wa dar ni mmoja wa vijana wanaotumia vipaji vyao kujitafutia riziki

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2009

    Mimi ninaishi hapa US, kwa kawaida hapa ili ufanye kitu watu wengine washtuke basi ni lazima ufanye kitu katika extra ordinary level.
    Kwangu mimi huyu ndugu amefanya kitu cha zaidi ya kawaida kwani ameonekana ni mwepesi wa kutengeneza instant mashahiri kwa kuzingatia hali iliypo mbele yake hata kwa sekunde.
    Ana kipaji, kinachohitajika zaidi ni kukiendeleza. Mkiweza jamani angalie uwezekano wa walau aende pale Bagamoyo kwenye cho cha sanaa atafaidika na pia ni hazina muhimu kwa taifa.
    Ninakupongeza sana Mh Balozi na DC wa nanihii, kazi nzuri sana ya kuwaleta hawa ndugu kwenye uso wa dunia.

    ReplyDelete
  2. Hongera sana ndugu malenga wa tz. Mimi sipendi mashairi lakini nimejikuta nikivutiwa na malenga huyu kwa kipaji alichonacho. Natoa mwito kwa wahusika serikalini wamsaidie kukuza kipaji hicho, kwani ni hazina ya nchi yetu. Naomba nipate jina kamili na mail au mawasiliano ya huyo jamaa nikija hapo tz nimtafute kwa ajili ya sherehe yangu. James-london

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 02, 2009

    Absolutely amazing! Hazina ya taifa

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 02, 2009

    amazing !! ni kipaji cha hali ya juu

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 02, 2009

    Hii ni MALI-BUNIFU yenye thamani kubwa sana. Hongera Malenga.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 02, 2009

    mashallah ,kaka michu tafadhaki kaka tulitee zaidi ya vionjo vya malengo aiseee anatisha ,usipime hapo.You made my boring saturday kaka lol!

    ReplyDelete
  7. Balozi;mimi hapa hoi kwa kipaji cha huyu malenga...huyu haswa malenga mahiri...naomba unitafutie contact za huyu malenga tafadhali au kama kuna mtu anajua contact zake naomba aziweke hapa nitarudi tena kuziangalia..tafadhali wadau.

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 02, 2009

    Nawewe kakaa michuzii Ulikua uanatafutaniniii,Nanialikuarika Mbonaujatwambiaaaaaaaaaa.....

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 02, 2009

    thats artist for real...thats what you call TALENT

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 02, 2009

    GREAT POTENTIAL.

    IT IS WHAT IT IS.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 02, 2009

    Naona amezivunaaa, utadhani ni yatimaaa, ila nimemkubaliii kijana amepatiaaaaaaaaaaa.

    Hebu tupe na kontaktiiii, ili nasi tumjueee siku tukimhitajiii tujue pakumpatiaaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  12. SurvivorDMay 02, 2009

    Mh! A pure genius and fast mind indeed!

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 02, 2009

    EBWANA HUYU NIMEMVULIA KOFIA.MANAKE NIMECHEKA MPAKA MACHOZI YANA NITOAKA.JAMAA MTAAALAMU NILIBAKI NAANGALIA DAKIKA ZA CLIP ZIMEBAKI NGAPI MANAKE SIKUTAKA AMALIZE.
    KAKA MICHUZI TAFADHALI SANA KAMA UNAWEZA TUEKEE CLIP NZIMA.JAMAA NOMA.

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 02, 2009

    hii ndoi tradition song ya TANZANIA sio RAP wala bongo flavor ,kwanza bongo flavor zote zinafanana kurap na kuvaa suruari matakoni si kitanzania kabisah!

    yani kanikumbusha enzi za radio Tanzania wakati wa mashairi,
    wow hii ndo old school ya TANZANIA 100%

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 02, 2009

    Kaka mich kichwa hicho nimekikubali simchezo kitawafunika wakongwe sasa hivi

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 02, 2009

    Mh Balozi nadhani wewe unaweza kuwa hero kwa huyu malenga.
    Jaribu kuwatumia hii clip jamaa wa Bagamoyo na kuwauliza wanaweza kufanya nini juu yake.
    Michu jaribu tafadhali, nisingependa kuona talent haipati kuendelezwa.
    You can be his hero kama utaamua kutumia dakika tano tu kuituma hii clip pale Bagamoyo.

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 02, 2009

    aisee hii ni kiboko... BIG UP KWA SANA KWA HUYU JAMAA!!!

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 03, 2009

    huyu jamaa ulimi wake ni kama ak 47 duh mimi mwenyewe hoi!!!

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 03, 2009

    balozi wa nanii, tunaomba utuwekee na Steven Nyerere tuburudike.

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 04, 2009

    Kaka huyu ni mkali, na nimemkubali. Tungepata na mawasiliano yake ingekuwa vizuri, tumpe kazi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...