wanenguaji wa african stars wana twanga pepeta wakiwajibika usiku wa kuamkia leo katika 'listening party' ya kuadhimisha uzinduzi wa albamu ya 10 ya bendi hiyo ijulikanayo kama 'mwana dar es salaam' katika hoteli ya movenpick
mkurugenzi wa african stars entertainment inayomiliki african stars na vibration sound da' asha baraka akiwa na wadau wakipitia ratiba ya mnuso huo
wanamuziki wa twanga pepeta katika snepu la pamoja
wanenguaji wa twanga pepeta wakila pozi wakati wa mnuso huo
nyota kibao wa muziki na filamu walihudhuria pamoja na wageni waalikwa kwa kadi





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 19 mpaka sasa

  1. SipendimatumboMay 29, 2009

    Jamani hivi vitambi ni:
    1. Kuloa sana?
    2. Bia kwa wingi?
    3. waja wepesi?
    4. wana safura?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 29, 2009

    Twanga komaeni vichwa, mmekuwa mfano kwa kipindi kirefu, misukosuko ni sehemu ya mafanikio.
    Mdau
    Tabata-Kimanga

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 29, 2009

    Kweli huu ndiyo utanadawazi (ya wazungu kuleta huku kwa waafrika lakini ya waafrika kwenda kwa wazungu!!), kwamba mwanamke hawezi kucheza akiwa amevaa vizuri bali mpaka awe UCHI!!!

    ReplyDelete
  4. Al MusomaMay 29, 2009

    ...clearly a chapati or mandazi too many...a burqa might help...

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 29, 2009

    Hongereni twanga kwa mafanikio mlioyoyapata kwa kipindi kirefu.Hasa dad Asha baraka pamoja namisukosuko mingi inayokukabili kama kiongozi mwanamama.Lakini mimi tatizo langu bado ni udhalilishaji kina dada wcheza shoo,hivi hakuna mavazi ya kitanzania yanayoweza tumika badala ya hayo ya kigeni? mbona kina kaka wamependeza na hatuoni sehemu za miili yao? au ndio dhana kina mama mnakubali ni chombo cha kutangaza biashara kutumia miili yenu.tusikubali tamaduni za kuiga zinazotudhalilisha.najuwa twanga hakuna wakongo ni watanzania watupu, tupeni mambo ya kitanzania.Mwisho dada asha fanya huruma mrudishe BANZA kundini naamini chini ya malezi yako kijana mambo yake hayayumbi kama ilivyo sasa.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 29, 2009

    Dah! haya Twanga naona huo uzinduzi wenu Diamond Jubillee Ijumaa ijayo ya
    5/6/2009 utakuwa si mchezo. Listening party tuu mmejiandaa na kuonekana hivyo, siku yenyewe patatosha kweli?.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 29, 2009

    hongera sana na mmpendeza sana lkn dada zangu hizo boots ni kwa ajili ya baridi kuna hao wamevaa raba wamependeza zaidi mungu awabariki sana muwe na msimamo huo hongera sana Asha Baraka

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 29, 2009

    yani huyo dogo kalala ndio kanenepa hivyo? duh! ebwana kama unasoma kumbuka mo tulikuwa tunapiga kikapu pale amref enzi hizoooo!

    na huyu choki vip mboni kakonda hivyo!

    mo, norkopping

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 29, 2009

    Mhh sijampata vizuri kwenye picha ya chini kabisa, je huyo ni choki ama dr.cheni?

    Naona wadada "FULL NDAMBIZI" sijui ndo fashion ya sasa ama ni mambo ya 'chapati' na 'ngano'?

    MdauzJP

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 29, 2009

    Nilijua tu waosha vinywa lazima mtachonga sana midomo! kuhusu Madansa kwa kuwa wana matumbo makubwa!

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 29, 2009

    DU HIVYO VITAMBI SI MCHEZO! je mna ugonvi na mazoezi?hapana kucheza ni mazoezi tosha! sasa tatizo ni nini? CHIPS NA KUKU WA KISASA! du!!! shepu zinaharibika watoto wazuri diete na gym muhimu sasa hata kama ni figure za kibantu!!!ka!!

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 29, 2009

    Chips mayai, chips dume, nyama choma, Safari, Kilimanjaro, baada ya kazi burudika na Tusker. Vitambi mpoo??????????? Mazoezi hoyeee-----------Vitambi juuu zaidi.

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 29, 2009

    Jamani matumbo hayo...angalau mpige situps. Sio vizuri kuangalia hayo matumbo

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 29, 2009

    Duh yaani kweli kuna watu mnajua kuangalia.. yaani wewe mdau hapo juu uliyeuliza kama huyo ni ALI CHOKI au Dr CHENI ndo umenifumbua macho.. nikaona nirudi tena kutizama picha vizuri.. kutahamaki kumbe kweli huyo ni Dr CHENI. ama kweli bongo tambarareee

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 30, 2009

    wabongo acheni tabia ya kula usiku,mimi nina watoto wawili niligundua siri nakula ninachotaka ila mwisho saa moja jioni labda niende kwenye pati,ila mwisho saa moja then nakunywa maji mengi sana usiku kila nikiamka .basi sina tumbo kabisa niko flat kabisa hii siri nilisoma article ya moja kwamba u mwili unapumzika sio vizuri kuujaza mabia,manyama chona ndio maana mnapata vitambi.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 30, 2009

    ayo matumbo
    ndipo MLIPOTOKA UMO NDANI

    nyambaf zenu

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 30, 2009

    'Da Asha mona wewe tumbo lako umelistiri lakini unakubali matumbo ya hawa wakinamama wenzako yakae wazi kwenye kadamnasi?

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 30, 2009

    jamani ushamba wa mavazi unasumbua sana ktk fani ya muziki bongo. utakuta viatu mabuti marefu ya winter wametinga jua la sanane wanakata mayao! jamani vitovu huvaliwa na wale kinadada wanaotaka kuonyesha jinsi walivyo na shepu nzuri za matumbo,sasa nyie mnapelekwapelekwa tu na huyo mbunifu wenu wa kuvaa hadi mnajikuta MNATUONYESHA VITAMBI. haya kazi kwenu sasa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...