kunradhi wadau; video haziko katika engo na kiwango
kinachotegemewa lakini mdau aliyeichukua
video hii kwa kamera ya simu
si mwandishi wa habari
na ukizingatia alikuwa katika uwanja wa vita
amejitahidi kwa kadri ya uwezo wake angalau tuone
kilichojiri. Anastahili pongezi....
We vipi, kwa hiyo waandishi wa habari si Binadamu?
ReplyDeleteYaani mwandishi wa habari si binadamu? Mliochoka kwa jua (bila box) na wasiojua jokes msijibu....
ReplyDeleteBlackmpingo
hahahahaah wabongo wanashangilia wanafata risasi wakifa walalamike eti kova hakuwataarifu.asante mdau kwa video nimependa sauti yako
ReplyDeleteKaka Michuzi tunathamini sana jitihada zako, wala usijali kama imekuwa nzuri wala nini hayo yote yanaeleweka cha muhimu ni kwa sisi ambao tuko nje ya nchi tumeweza angalau kupata picha ya nini kinaendelea nyumbani... KEEP IT UP KAKA!!!!
ReplyDeletePongezi mdau aliyesaidia kutuhabarisha. Hii kweli ni globu ya jamii.
ReplyDelete