mratibu wa mlimani park orchesta a.k.a sikinde
ngoma ya ukae papaa juma mbizo aongelea ratiba mpya ya bendi
hiyo ambapo kila ijumaa watatumbuiza vijana
wa zamani kwa vibao vya enzi hizo vya sikinde
katika ukumbi wa bwalo la maafisa
wa polisi oysterbay jijini dar kila ijumaa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...