mdau akiwa anapelekwa kwenye daladala kutoka kituo cha mikocheni tanesko. mengi ya mafuriko haya hutokana na kuziba kwa mifereji, hivyo mvua kiduchu huzaa mabwawa
kutokana na kuziba kwa mitaro pamoja na ujenzi holela unaoziba njia ya mtiririko wa maji hata kiota chetu cha maraha cha lilly's huathirika sana wakati wa mvua, iwe kubwa ama ndogo
sehemu za mayfair plaza msasani ndio usiseme

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 01, 2009

    Utambarare utaisha kama tu,mafisadi watakapotokomezwa kabisaaa na watendaji watakapoacha kupokea mishahara ya "bure" na kuwa na discipline na kazi zao. Kinyume na hapo taswira kama hizi za "tambarare" hazitaisha kwenye blog yetu ya jamii.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 01, 2009

    KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 01, 2009

    MENGI WALA ULIPOTI WEWE NI SIMBA AU CCM

    ReplyDelete
  4. ughaibuniMay 01, 2009

    piga ua garagaza sirudi bongo ng'oo.mseme mtakayo sema ila sirudi,michuzi nisalimie sana rafiki zangu hapo kwa bi mkubwa.ila sitii maguu kamwe bora kupiga box jujujuju kwa ju.

    ReplyDelete
  5. Watawala wa Jiji wasubiri kuitwa tena Ikulu ili wapewe maagizo ya jinsi ya kushughulikia tatizo hili.

    Sikukuu njema.
    Faustine
    http://drfaustine.blogspot.com/

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 01, 2009

    wewe mpiga maboksi unayesema haurudi bongo akili yako haina darubini ya kuona mbali, mi nakwambia maisha ni bongo mwanaume siyo kukaa unavifurahisha vibibi vizee vya ughaibuni vilivyokata tamaa na maisha, mara uoshe mbwa, ujilipue,uolewe,udharauliwe kupita kiasi,ujiite mkimbizi,n.k.hata mimi nishafika maeneo mbalimbali ya ulaya,hakuna cha maana zaidi ya material things.wazungu wengi wako frustrated! nakushauri upige boksi sana huku ukiwafurahisha hao bibi vizee hata kwa kutumia viagra na baadaye uje bongo ule maisha. sisi tunatesa bongo,ughaibuni ni kutafuta mkwanja halafu unakuja kutumia na mamsapu bongo.katabahu!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 05, 2009

    nimeipenda picha #1

    mh

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...