kiongozi na mpiga solo wa bendi ya vibration sound elyson angai na rapa wake wakijituma jukwaani katika uzinduzi wa albamu mpya ya 'overtime' ya  bendi  hiyo katika viwanja vya leaders club jijini dar jioni ya leo.
mpuliza sax maarufu king malou amejiunga na vibration sound na hapa akifanya vitu vyake leo
safu ya washambuliaji wa vibration sound kazini leo
elyson angai akiwajibika
sehemu ya umati wa wadau waliohudhuria onesho hilo la unzinduzi la bure leaders club leo
waimbaji wa vibration sound wakighani
muonekano wa mapema wa viwanja vya leaders club wakati wa uzinduzi wa albamu mpya ya vibration sound uliodhaminiwa na kilaji cha kilimanjaro lager na kufana vilivyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 04, 2009

    elyson nambari wani.... si mchezo afurika nzima

    ReplyDelete
  2. MchunguziMay 04, 2009

    WaBongo bwana kwa kupenda DEZO! Mweeh!

    Cheki hapo walivyojaa! Khaa!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 04, 2009

    HARAMBEE KAMA HIZI ZINGEFAA KUWAKUMBUKA WAHANGA WA MABOMU KULE MBAGALA. LAKINI WAPI, WOTE AKILI KWENYE ULABU TUUU

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 05, 2009

    Aaaah Kaka Jeff...Nakuona unawakilisha TBL...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...