Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Luteni Kanali Mstaafu Serenge Mrengo, akikata utepe kufungua rasmi duka la Zantel Mwanza. Pembeni yake ni Mkuu wa Kitengo cha mauzo Zantel, Deo Kwiyukwa. 

Luteni Kanali Mstaafu Serenge Mrengo, akipata maelezo ya huduma ya kasi ya intaneti kutoka kwa Mathew Shayo wa kitengo cha Huduma kwa Wateja

Rose Mushi wa Kitengo cha Huduma kwa Wateja akitoa maelezo kuhusu huduma mbalimbali zinazotolewa na Zantel kwa Mkuu wa Wilaya ya Ilemela, Luteni Kanali Mstaafu Serenge Mrengo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 12, 2009

    Poa sana bhageshi! huko ni kwetu sana ingawa mimi ni malafyale.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 13, 2009

    Swala la makampuni kutangaza kutoa huduma sio tatizo.tatizo ni kwamba ze huduma hiyo itafikia watu wangapi?.kwani kiwango cha kuilipia huduma hiyo ya mawasiliano ndicho kitakacho kwambia kama mambo ni yale yale au laa.
    Je nduguzangu wahusika na mnao fahamu swala lamawasiliano ya internet kwanini Tanzania ni Ghali internet kuliko Ulaya?.Mimi niko nchi moja hapa Ulaya nalipa kwamwezi sawa na pesa za kitanzania 16250TSH speed ya hii ineternet ni 100Mbps.Huku kuna nini ambacho makampuni yanashindwa kufanya hapo nyumbani hata iwesawa.Nilishituka sana kusikia Internet kwa siku TSH6000.Nitapenda kupata jibu hata kutoka Zantel.{MDAU}

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 13, 2009

    Deo kwiyukwa its good to c u ,u have changed somewhat keep up the good work

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 13, 2009

    ndugu mdau, ningependa nikufahamishe kwamba kuna tofauti Ulaya na Tanzania. Ulaya wanatumia Fiber na TZ bado tupo kwenye satellite ndio tunaelekea kwenye fiber sasa. Pia huduma anayotoa Zantel ni CDMA ambayo kifaa chako cha internet unatembea nacho kwa maana popote utapoeenda TZ bs utapata huduma. Bei zitashuka very soon baada ya Fiber kuanza bei za Internet na simu zote zitashuka sana sasa tuombee TCRA nao wawe makini na hilo maana wasipokuwa wafwatiliaji basi bei zitakuwa juu ingawa makampuni husika yatakuwa yanaendesha mawasiliano kwa gharama za chini sana.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 13, 2009

    deo unang'aa suti imekutoa kweli
    vipi kuendeleza zain vijijini?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...