Original Products ONLY!
From USA
Kwa Wanaume na Wanawake
Perfume, Deodorants, Aftershave, Vipodozi nk.
Pia tuna Age fighting Products.

Wasiliana na Rose: 0754270702 au 0784521171
Tutembelee Sinza Mapambano au Mikocheni.

LOCATION
#1: Shekilango Rd; SINZA MAPAMBANO "MADUKA YA BLUE", ubavuni mwa LILY'S BAR na tunatazamana na ukumbi mdogo wa UTOJI LOCATION
#2: MIKOCHENI KARIBU NA KWA MWALIMU- JUED BUSINESS CENTER
Direction:
Kutokea Rose Garden, ukifika TALK of the TOWN jengo linalofuata linaloangaliana na Saleeka Apartments.
Pembeni ya ARISE BEAUTY SUPPLY kuna ATM ya CRDB.
Ukienda mbele kidogo unafika kwa Mwalimu.
Tembelea website yetu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 23, 2009

    Mnawadanganya wa huko. Vitu vya mexico hivyo.

    ReplyDelete
  2. Mdau wa kwnza hapo juu wacha dharau mtu kaleta bidhaa zake muache auze ili nawe upate jengewa barabara na hizo kodi wewe uko uliko unachangia vipi pato la taifa lako ili liendelee. kwanini ukatishe watu tamaa huo ni unafiki, basi leta na wewe vya Usa tununue una uwezo hacha roho mbaya kihivyo mwacha mwenzio ajaribu maisha hata kama ni china au congo mwache auze.ni hayo tu kaka

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 23, 2009

    we hapo juu kama hauna la kusema bora unyamaze....unawadanganya wa huko....what do u mean?wa huku hatujui quality na original things eeeeh,yaan we kutoka nje ya bongo basi unaona kila aliye baki bongo ni mshamba na mtu wa kudanganywa tuuu.....hebu kabebe box achana na maisha yetu ya bongo,kwanza rudi uje umjengee baba yako kajumba kanamdondokea huku.

    ReplyDelete
  4. Hivi kitu kutoka USA imekuwa nongwa? Kuna made in china nyingi sana kutoka USA. Acheni wizi hivyo vipulizo hakuna hata kimoja kinachotengenezwa USA labda useme vilipitia USA kuelekea Tanzania.

    ReplyDelete
  5. Transit in USA and not made in USA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...