Zanzibar International Film Festival (ZIFF) mwaka huu
Tamasha hilo la ZIFF 2009 linatarajiwa kuanza juni 24 mpaka julai 4 mjini Zanzibar likishirikisha wanamuziki na wasanii kutoka nchi mbalimbali, ambapo kutakuwa na maonyesho mbalimbali ikiwa ni pamoja na muziki, Filamu, semina mbalimbali juu ya mapambano ya Ukimwi, Ngoma za Asili na mambo mengine mengi.
Haya bwana michuzi, wasomaji wako wanakaribishwa kwenye website yetu ya The East African Tribune www.eatribune.com
ReplyDeleteKaribuni....kina nanihii