maximo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 04, 2009

    Na kiwango kimepanda sasa tupo nafasiya 72.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 04, 2009

    Tanzania ni ya 109. Montenegro ni ya 110.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 04, 2009

    we annon 9:25 hapo juu wacha uongo
    nafasi ya 72 Fifa au?

    mbona nimetoka kuangalia saizi naona tupo nafasi ya 109 na 72 ni South Afrika.

    angalia link hizi:

    http://www.fifa.com/worldfootball/ranking/lastranking/gender=m/fullranking.html#confederation=0&rank=182&page=3

    P.E.D

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 05, 2009

    bora nyie mmeamua kuhakikisha ndio hivyo pia kwenye kwenye maswala mengine watu wanasema sana lakini ni uongo mtupu, ni vizuri kuhakikisha kabla kabla ya kuongea chochote.

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 05, 2009

    FIFA wamerekebisha bahada ya mechi ya jana.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 05, 2009

    Ninasikia ratiba ya mechi za kimataifa iko hivi: mwezi ujao inakuja nchi ya Mongolia, mwezi wa nane Bhutan na inamalizia Nepal mwezi wa tisa ili mradi tushinde!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 05, 2009

    tutaendelea kuhesabu ranks tu wakati ukiangalia kiwango kipo hoi,hivi toka tupepanda viwango hata challenge hatufiki fainali.ujanja wa TFF na kumlea maximo ni kutuletea timu vibonde tu ili tujisifu.tunajidanganya kweupe.tuleeteni MISRI,NAIJERIA,TUSIA,BAFANABAFANA,KAMEONI NA GHANA sio kutuletea wazungu wasiojiweza kisoka ili tupate sifa.subirini kitachowapata huko south wanapokwenda.Huyu maximo asichonge sana afundishe tu muda bado.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 06, 2009

    Basi Kipofu kaona mwezi. Bado kuwafunga Nepal tu, tuwe 36 kwenye Rank za FIFA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...