Home
Unlabelled
exim bank yasaidia shule ya sekondari ya tai ilioko rorya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera Exim kwa hilo ila kwa kweli huduma zenu, ARI na utendaji umeshuka sana kwa sasa(kwa maoni yangu).
ReplyDeletenilipowatembelea na kufungua account ya kawaida na Master card mwaka 2006 mlikuwa mnavutia sana. Lakini sasa hivi hamko tofauti na local banks nilizozokimbia zamani.
Dr Frank.
duuuh..hivi vitabu havibadiliki tu
ReplyDeletetangia mimi nipo sekondari tulitumia same books na hivyo vitabu niliachiwa na sista yangu ambayae tulipishana naye 6 yrs
sasa hivi nipo harvard na ninakaribia kumaliza degree na bado wanatumia vitabu hivyo hivyo...ama kweli elimu ya bongo....wenzao huku hubadilisha vitabu almost kila mwaka kama si kila semesters..
gloria cheche
harvard university