

Bendi hiyo yenye tabia ya kuwapeleka mashabiki mchaka mchaka kwa muziki wake murua huko ughaibuni, inatarajiwa kutumbuiza majira ya saa 10.00 alasiri,ambapo washabiki wa nyimbo za kiswahili na muziki wa dansi wanaisubiri kwa hamu bendi hiyo, iliyofanikiwa kujizolea umaarufu kwa kutumia vionjo vya midundo ya dansi ya kibongo.
Kiongozi wa bendi hiyo Ebrahim Makunja aka Ras makunja ataliongoza kundi hilo jukwaani kwa kazi moja tu, nayo ni kuwadatisha na kuwapa shangwe mashabiki! hebu wasikilize hapa mdau upate uhondo wa kazi yao nzuri
pia wasiliana nao kwa
pia unaweza kupata habari zaidi bofya hapa
the-ngoma-africa-band-continues-to-thrill-fans.html
vichaa hawa wanakubalika! wao hakuna kulemba ni mdundo tu!
ReplyDeletekazi yao ni tishio la kimataifa
najua vichaa lazima mtawasha moto mkali
ReplyDelete