msanii Gabriel The King a.k.a GTK anajitambulisha kwa video ya mojawapo ya singo zake sita kati ya vyake 12 anazotarajia kuvimwaga hewani hivi karibuni na baadaye albamu nzima yenye vibao 12 kabla ya mwaka huu kumalizika, huku akidai kiti cha enzi cha ufalme wa Hip Hop.
Singo hii inaenda kwa jina la Ju' kama Obama na imetengenezwa Mawingu studios kwa Dj Bonny Luv na FishCrab, wakati kazi ya video ni yake Adam Juma wa Visual Lab.
Anasema baada ya majuma matatu atafyatua singo ingine itayokwenda kwa jina la 'Barua ya wazi kwa JK' na kuendelea kumwaga singo moja moja kwa muda huo hadi zitimie sita, ndipo atoa albamu nzima ya vibao 12.
KWELI HUYU BWANA YUKO JUU. NAMKUBALI 100%. UZURI UNASIKIA MISTARI MINGI NDANI YA KIBAO CHAKE. WENGINE HUWA ZAIDI NA MBWEMBWE ZA MAPIGO YA VYOMBO KULIKO UIMBAJI. KAZI YAKO IMETULIA.
ReplyDeleteSEMA TU SWALI LANGU NI -KWANINI WAIMBAJI 'STAA' WA BONGO HUVAA JEZI ZA MICHEZO ZA USA?
Kutokana na umri sisikilizi sana maneno ila video imetulia.
ReplyDeleteWanawake is the best flavor kwa music video na mandhari nzuri pamoja na nice cars na beautiful places. Video is good.
Tuondokane na ugonjwa wa video za kuoensha matatizo na majumba ya udongo kama tunashawishi misaada. Hazitii hamu kuangalia.
Sometimes dirty ladies and ugly some. No bueno amigoz
Modernisation is very important hasa kwa villagelization and globalisation.
ohooooooo..
ReplyDeleteni kweli yupo juu kama mzee Barack Hussein Obama ??
linganisha basi
http://www.daylife.com/topic/Barack_Obama/photos
Nyie watu mmesikiliza beats tu! Mmesikia maneno anayosema? Eti Marekani hakulipi. Thubutu! Labda wa watu ambao hawajaenda shule na pengine wewe ni mmoja wapo na mwanakijiji. Kama marekani hakulipi kwa nini sasa Obama yuko juu? Marekani unaweza kujenga nyumba kwa box, niembie nchi gani unaweza kufanya hivyo.
ReplyDeleteNina madeni uku usa kama nina hakili nzuri vile.Nakubari ujumbe.
ReplyDeletehahaha Unafurahia madeni? kazi kweli ipo..
ReplyDeleteOhhhh puleeeeeeees
ReplyDeleteteheteheh umenichekesha hapo juu wee uliyempa link alinganishe....
ReplyDeletebongo bwana....mtu chakula kikijaa kwenye fridge ndani basi anajiona tajiri its more than that guys
Singo nyingine baada ya wiki tatu?
ReplyDeleteNamna hiyo hutaendelea. Tengeneza pesa na hiyo kwanza
Video - good
ReplyDeleteBeats - good
lyrics and storyline - very poor...
Mimi sikujui mshkaji sijui ulikuwa majuu lakini kiswahili cha mziki kimekupita mbali na mistari yako haijapangika kabisa kama unai-force vile?
ni hayo tu....
NAMFURAHIA MWIMBAJI KUWAPA WATU PICHA HALISI YA MAISHA WANAYOWEZA KUKUMBANA NAYO WAKIFIKA USA AU "MAJUU". NI ONYO ZURI MTU ASIFIKIRI TU KUWA USA ATABADILI MAISHA KUWA MAZURI. WANGAPI WAMEZAMA USA NA HAWANA UBAVU HATA WA NAULI YA KWENDA NYUMBANI? LAKINI HAPOHAPOKUMBUKA WAPO WENGI SANA WANAOTENGENEZA PESA NZURI. PROFESA ANAYEFUNDISHA UDSM KWA MFANO HAWEZA KUWA NA KIPATO HALALI CHAKULINGANA NA PROFESA WA USA. AU MBEBA BOKSI WA USA HAWEZA KUWA SAWA NA MBEBA LUMBESA WA KARIAKOO.
ReplyDeleteUNAYEOGOPA MADENI SHAURI YAKO. MAISHA NI WAKATI UPO DUNIANI. SASA BORA UISHI BILA DENI NA UFE? CHAGUO LAKO.
Track iko bomba tu video iko poa pia au siyo kaza buti mazee kama kweli unataka kuwa juu kama obama inahitaji moyo na uvumilivu na siyo kukata tamaa hahahah umeogopa kushindia mikate USA?Uko na kibarua kigumu mazee game yeyote ile huwa ni ngumu tu jitahidi utafika huko juu ni hayo tu!
ReplyDeletekwanini tanzania tunataka kuwa kama wamarekani????!!!! sitakaa ni support miziki hiyi ya kibongo,ni uchizi mtupu.I hate the video contents, it's just crap!! what the hell, champagne glasses,taking video with a range rover.to me,bongo this kind of bongo flava doesnt have originality,oh my God,tanzanians,they love being americans.I am so sick of this.
ReplyDeleteNaipenda Video na Lyrics zake..i think its pretty hot'' stop hating haters!
ReplyDeleteAnayosema is nothing but the truth..about life in America & Tanzania....nimeishi Bongo na nimeishi USA...the difference though is nikuwa America ajira zipo..wakati Bongo mpaka uwe na Degree...au uwe na Refa ndio upate kazi..na ukiwa Juu ka Obama U Hustle Mo'..so GTK Tell e'm''let"Em know what time it is Baby!! You Rock''...we are rocking this your video in CT...Representin''
Ladies and Gents,i read yo comments,some of you are haters,mwenzenu kasema ukweli,US maisha ni magumu,that's reality accept it,we u hapo juu unasema,US unaweza jenga nyumba,kwa pesa gani uliyonayo? we all know about 30 year mortgages,kwa hiyo usitudanganye hapa,na hako ka associate kako,let the boy do his thing,that's his choice and story line.GTK you do you,forget about HATERS,CONNECTICUT loves the MUSIC VIDEO and yo story.DON'T GIVE UP,PEACE.
ReplyDelete