hussein machozi ni kifaa kingine ambacho kinatamba bongo kwa hivi sasa....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 27 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 25, 2009

    dah dogo kasimama sana,bongo kumbe kuna vipaji vingi hivi duh si mchezo

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 25, 2009

    Nyimbo ni nzuri lakini beats na sauti kainga za Mbilia Bel.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJune 25, 2009

    day I say the very best...please help...where can i buy hiyo cd ya hussein machozi...anybody?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 25, 2009

    Nilikataa nilikataa sasa nimekubali, nilikataa nilikataaa sasa nimekubaliiiii eeehh! Jamani kaka mbona sauti umebarikiwa hivyo mmhh sisemi zaidi.Nimekumind sanaaaaaaaaaaaa.

    ReplyDelete
  5. Nimekubala mwana bongo kuna vichwa si mchezo!!Lakini hio video yake amei shoot Nairobi...basi utasikia wakenya watadai jamaa ni kutoka kenya....mmmm mie simo.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 25, 2009

    mziki mtamu,vijana wa bongo nuksi naona ni dar mpaka naii!!!

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 25, 2009

    usije ukamsahau BELLE9 ni another problem pia

    ReplyDelete
  8. AnonymousJune 25, 2009

    Nice number and beautiful video...Thanks Michuzi.

    ReplyDelete
  9. AnonymousJune 25, 2009

    Bravo Hussein Machozi..Uko sawa mzazi...Kaza buti,very nice song.

    ReplyDelete
  10. AnonymousJune 25, 2009

    Haya kina Machozi mnafanya makosa yale yale ya kina Mbaraka Mwinshehe, Atomic Jazz, Tabora Jazz, Western n.k kwenda kurekodi Nairobi, afadhali wazee wazima wa zamani watasema kulikuwa hakuna studio TZ.

    Hati miliki za wazee wazima mpaka leo makampuni Nairobi wanakula mshiko, je Vijana wenzangu hayo mnayaangalia? Fanyeni kazi zenu Bongo mdhibiti hati miliki kwa sheria za Bongo.

    Mdau
    Kizazi Kipya Mjanja.

    ReplyDelete
  11. AnonymousJune 25, 2009

    nyie mnaolaumu kwamba kenda kushuti nairobi na ni kosa hebu grow up kidogo. Video imefanywa na mbongo (Adam Juma - Visual Lab!)! Nairobi ni location tu, mbona wasanii kibao wa mamtoni wanaenda nchi zingine kushuti video? Wengine walikuja mpaka bongo (john legend, loon etc). Hebu acheni majungu and enjoy the music....

    big up hussein i see ur on the up bro keep hustlin usisikilize majungu!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJune 25, 2009

    Kweli wangapi Marekani wana Shoot Nje Kanye west Diamond kashoot Paris na 50cent na Justin wame shoot London, Keri Hilson na Timbaland Wame shoot Manchester,England Wazaiere au wa Congo wengi Video zao wana shoot France. Aaliyah mungu amrehemu ame shoot video yake ya mwisho Carribean. Wacha Watanzania wapanuwe vipaji kila kwenye uwezekano wakujitangazia rahisi. Dizo.

    ReplyDelete
  13. AnonymousJune 25, 2009

    haki kijana ana maudhui kwani vina na mizani pamoja na sauti vimekwenda shule, mmh big up dogo

    ReplyDelete
  14. AnonymousJune 25, 2009

    nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu huumziki wa kizazi kipya wa bongo kwa muda mrefu sasa,lakini nikisikiliza kwa makini kuanzia bits zao na mashairi maranyingi utakuta kuma makundi kama matatu hivi ya style za uimbaji wao.
    kusema kweli WENGI BADO WANAIMBA KWAYA TU,na nyimbo zao zinadumu kwa umaarufu kwa muda mfupi sana kisha zinachuja na kuwa hovyohovyo kabisa,ila bado nina matumaini kwamba huenda baada ya muda kutakuwa na madiliko mazuri tu.
    kazeni buti vijana nimeshaanza kuona baadhi ya wanamziki wanaanza kufanya vizuri na hatamziki wao unaweza kusikilizika pia ktk nchi nyingine.
    sio kwamba ninawaponda ila najaribu kuwastua kuwa kazi bado mnayokubwa msiridhike mkaona mmekwisha fikia hatua nzuri,huu ni mwanzo tu mziki wenu bado haujatulia vizuri.au huenda mnamtumia producer mmoja ambaye creativity yake sio pana sana kuweka mziki ktk vionjo tofauti ili usifanane na kuwa kama kwaya.hili lizingatieni sana maproducer na ma composer wa muziki wa kizazi kipya.
    angalia mtu kama DR.DREE kazizake anazofanya huwezi ku notice mfanano kati ya mwanamziki mmoja na mwingine,pia kati ya wimbo na wimbo. lakini nyimbo za bongo nyingi ukisikiliza bits zinafanana na flow ya mashairi pia inafanana kwa nyimbo nyingi sana,sasa hii inareflect low creativity.

    ReplyDelete
  15. AnonymousJune 25, 2009

    ANOTHER ALI KIBA OR Z ANTHONY,ILA SIYO MBAYA KUIGANA.

    ReplyDelete
  16. AnonymousJune 25, 2009

    watu wengine wazushi tu! wabongo bwana!

    ReplyDelete
  17. AnonymousJune 25, 2009

    mimi nakubaliana na huyu anonymous hapo juu ya kwamba vijana wanavipaji sema wamepoteza nguvu ya ku create identity zao wenyewe,kwa mfano huyu dogo anasauti nzuri sana, sema anataka kuimba kama Alikiba sasa hapo ndo amepoteza,
    Vijana kamueni na tumieni vipaji vyenu kwa umakini ili mjitengenezee vitambulisho vyenu wenyewe

    ReplyDelete
  18. AnonymousJune 26, 2009

    Aisee,, bongo wasanii bomba kumbe wengiiiii,,kaza buti dogo

    ReplyDelete
  19. AnonymousJune 26, 2009

    kijana yuko juu aisee!! all the best

    ReplyDelete
  20. AnonymousJune 26, 2009

    yeuwiiiiiiiiiii

    dah uyo demu bombaaa,kaka sauti balaaaaa

    kumbe ni mmbongo??tuko juu ivi??

    oooh no sina la kusema

    asante

    ReplyDelete
  21. AnonymousJune 26, 2009

    dada u mrembo na mzuri saaana

    basi

    ReplyDelete
  22. AnonymousJune 26, 2009

    tutapataje CD za awa vijana

    machozi,barnaba nk nk

    ReplyDelete
  23. AnonymousJune 26, 2009

    Wewe Anon wa 10:32 hebu jaribu kuandika kiswahili vizuri sio mnatuandikia matusi huku kwenye blog ya jamii pumbavu!!!.

    Nyimbo ni bomba sana vijana wanajitahidi sana.

    ReplyDelete
  24. AnonymousJune 26, 2009

    siutan anonny wa june26 saa 10:40AM nilipitiwa na ilikuwa usiku ndiyomaana unaona hiyo typing error hapo,sijakusudia kuandika matusi,hata ukisoma utagundua tu ktk sentensi ni kupitiwa.lakini sikulaumu kwakuwa comment ulivyoitoa ina reflect jinsi ulivyo hata ktk mahusiano ya kwaida.
    ok asante.lakini nakanusha kuwa mimi sio mpumbavu kama unavyodai au unavyo immagine.huenda ukiweza kuniona live utajisikia aibu pia wewemwenyewe kwa jinsi ulivyoandika comment yako kunikaripia.
    mdau wa blog ya jamii.

    ReplyDelete
  25. AnonymousJune 26, 2009

    wewe anon unayetukana watu wapumbavu huwezi kusoma ukaona jamaa alipitiwa tu!maana hakuna uhusiano wa kiliandikwa na matusi!hahaha anyway vijana mnanyodo kweli! hongereni wanamuziki ila kweli jitahidini ku create identity msiigane mtajiharibia soko wenyewe.

    ReplyDelete
  26. AnonymousJune 27, 2009

    Machozi namkubali...Hongera mkuu. Sioni tatizo ktk hii kzi yako...

    Nyimbo kali, Lyrics kali, beat kali, video kali...keep it up.

    ReplyDelete
  27. AnonymousJune 29, 2009

    ...msijali siku moja wanablogu wote wa jamii (wabeba box na wala vumbi) wooote tutakutana pale A-town mitaa ya ngurdoto ili TUJUANE ZAIDI na mgeni rasmi ni mtu mzima mwenyewe mzee wa mikonozzz...

    sipati picha itakuwaje...hahahahaaa

    just thinking loud...!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...