Home
Unlabelled
jiji la mwanza ndio mabingwa wa usafi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Usafi, Usafi!! Usafi kitu gani!! tengenezeni barabara huko!! Kazi kula rushwa tu!
ReplyDeleteEbu cheki barabara ya kilimahewa/kiloleli, yaani imegeuzwa dili kichizi na hawa jamaa wa jiji.
Wakazi wengi wa mwanza waishi eneo hili, ila cheki hadi leo barabara haina lami, ikiharibika sana, wanamwaga 'mchanga' then huko sijui wanavyoandika, hata wiki haimalizi imeharibika tena!
Acheni kutunyanyasa hivo, kwani kule bwiru, mecco, kirumba kuna nini hadi kuwe na lami na taa za barabarani lakini sio kilimahewa amabaki nguvu kazi kubwa ya mwanza ndo inakoishi, au kwa kuwa vigogo hamkai huku!!
Wizi mtupu!
Michu jiji (mji) la mwisho ni lipi kama si Mbeya!!!
ReplyDeletemji au jiji la mwisho kwa usafi bila shaka ni Dar as salaam mbeya cha mtoto
ReplyDelete