Home
Unlabelled
malkia wa denmark amtuza medali mzee namkwata
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mwenyezi Mungu akupe heri na akujalie afya njema Mzee Peter Namkwata!
ReplyDeletehii tuzo/chuma huambatana na dollarzzz au ndo kuchorana na ilo chuma???
ReplyDeletesii mchezo mzee kapiga kizigo!!anastahili dollarzzz thr that tuzo
nieleweshwe
Inapendeza sana kuona Malkia wa Denmark kamkumbuka mtunza bustani wa Tanzania. Hii ni challenge kwa viongozi wetu ambao mara nyingi wanakumbukana wao kwa wao na kusahau wafanyakazi wa chini.
ReplyDeleteMara Nyingi sitei maoni, lakini nimeguswa sana na unyenyekevu wa mzee wetu na kulazimika kuandika !
ReplyDeleteIt is heart touching to see how humility can push humans to greater hights;
A gardener being honored by a royal family is something so uncommon in most of African countries
May this simple but powerful picture of humility captures the attention of our rullers who see the voiceless as their stooges to glory.
Mzee wangu Mungu na Akubariki na uendelee na kazi yako inayokupa mkate wako wa kila siku
Amen
John Mashaka
mzee peter wajanja wataanza kukutafuta sasa hivi kwa ajili ya reference za viza ya denmark kama siyo shengein,anyway congratulation mzee,ni wachache sana ambao wanaweza kukaa kwenye kazi kwa muda mrefu na katika ufanisi wa kuweza kupewa tuzo,wabongo fundisho
ReplyDeleteWampe na mengine ya ziada basi zaidi ya medali....he has spent his energy throughout his life for Denmark! Potelea mbali hata kama alikuwa analipwa.
ReplyDeleteKila la heri mzee namkwata. God bless u forever!
ReplyDeleteI wish i could work for those yrs. Maana siku hizi ni ngumu kufikisha miaka mingi kiasi hicho makazini mwetu.
Zawadi
hongera sana. lakini nahisi mzee hakuanzia kazi hapo kwani 20 is not much, ukilinganisha na jinsi umri wake unavyoonekana kuwa juu.
ReplyDeletePamoja na kumpongeza huyu mzee kwa uwajibikaji, nimevutiwa na kitendo cha Malkia na falsafa inayojitokeza humo, na ndio mtazamo wangu kuhusu umuhimu wa watu kama wafagiaji, wavuta mkokoteni, wapishi, na kadhalika, kama nilivyoeleza kwenye makala hii hapa.
ReplyDeleteWe anonymous wa 2.58... Duh! Unadhani hatuoni hilo? But thats not the issue here
ReplyDeleteHongera mzee
Hicho kitu huyo mzee anaweza badilisha in terms of $$$$$?Kama haiwezekani basi haina dili.watoto home hawana chakula eti wewe una heshima kutoka kwa malkia make no sense.
ReplyDeletesahihisho kidogo mkuu wa nanihii. Nipo huku Denmark. Na Habari zilizopo huku ni kwamba huyu mzee amefanya kazi ya kutunza bustani za huo ubalozi kwa miaka 40 sasa na sio 20.
ReplyDeleteHongera sana mzee. Mungu akupe nguvu tele na maisha marefu zaidi mpaka ufike miaka 100
Sipendi kabisa ninaposikia eti anapewa medali toka kwa queen. Yaani ni hilo tu!!! nothing else. Mzee kama huyu-loyal like him angestahili kitita kikubwa cha kumstaafisha na mahangaiko ya kutumia kemikali katika bustani za ubalozi for all these years.
ReplyDeletePole Sana mzee wetu- God bless you richly.
jamani angekuwa serikalini angekuwa ameshaastaafu mumgu akubariki baba wa watu.aliyesema huyu babu wa bustanini ni nani
ReplyDeleteNafanya kazi katika ubalozi wa Marekani Nairobi. Baada ya miaka 15 tu, wanakupa haki ya kuishi Marekani kama unaitaka (Green Card) Si wewe tu, bali na familia yako yote. Nasubiri miaka 2 nifunge virago vyangu. Texas here I come baby!!
ReplyDeleteJamani sio medali tuu. Kwa hakika wafanyakazi wa huo ubalozi wana angaliwa vizuri sana kimaslahi huyo hapoa hakosi kibanda pamoja na ada ada za wajukuu hazipigi chenga.
ReplyDeletemmh jamani babu hongera saana, lakini medali sio ya maana saana angalao wangemjengea nyumba nzuuri ambayo inamahitaji ya muhimu kama maji,na vinginevyo. Maana hata wakimpa pesa kweli jamaa hawataacha kumvamia wakidhani pesa kalala nazo kwenye godoro,mimi naona kwa upeo wangu wangempa kitu cha kumbukumbu kwa maisha yetu ya kibongo kama kumjengea nyumba akiamua kuipangisha ajipatie pesa hilo ni lakwake maana nguvu ndo zinaisha na anahitaji saana kipato cha kumsukuma mbeleni.
ReplyDeletemi naona wazungu wanamzingua tu mzee wetu, mpeni life inayoeleweka yeye na familia yake, medari ndo nini!
ReplyDelete