HABARI ZIMETUFIKIA SASA HIVI KWAMBA MZEE KOLOS KAPINGA AMBAYE ALIPATA KUWA BOSI WA SHIRIKA LA UCHUMI NA KILIMO TANZANIA (SUKITA) HATUNAYE TENA.
TAARIFA ZINASEMA MZEE KAPINGA AMEAGA DUNIA ASUBUHI YA LEO HUKO NYUMBANI KWAKE KIMARA. HABARI ZAIDI TUTATOA KADRI ZITAVYOPATIKANA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 06, 2009

    RIP Mzee.msiba umetugusa wengi na tunakuombea mungu akulaze mahala pema peponi.Poleni Suji,elly,diana,Katibi,regina na carlos.Pole sana mama.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 06, 2009

    rest in peace baba yetu mzee kapinga. you've touched so many lives and you will always be remembered for that. mama suji pole sana na msiba na mungu akupe amana na nguvu katika safari hii ya kumpeleka mzee katka nyumba yake ya milele. suji elly kangoka katibi, pilika na karlos wote pole sana na mungu awatie faraja na amani. Ni majonzikuondokewa na mzazi lakini pia mumshukuru mungu na mpate faraja kwa maisha aliyowapa baba yenu na mapenzi aliyokuwa nayo kwenu. poleni sana.

    ReplyDelete
  3. Kuna Kapinga nilisoma nae Dar Tech College, pia alikua wanakaa mitaa ya Kimara, huyu na Baba yake?

    ReplyDelete
  4. AnonymousJune 07, 2009

    Carlos and Alex,

    I was deeply saddened to hear of your loss.
    May the comfort of God help you during this difficult time
    May your memories give you strength... Read More
    My thoughts are with you and your family.

    Ezekiel

    ReplyDelete
  5. AnonymousJune 07, 2009

    kulikuwa na kapinga watatu wote walikuwa wanakaa kimara karibu karibu. walikuwa wengi pale kimara kama wakina munanka.

    ReplyDelete
  6. AnonymousJune 07, 2009

    JAMANI, HUYU KAPINGA NI YULE MMILIKI WA JENGO LA GHOROFA NA BAA PALE KIMARA - STOP OVER? KAMA NI YEYE NAMJUA. POLENI SANA.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJune 08, 2009

    May the Lord rest his soul in peace. We pray that the family is strengthened at this time of sorrow. Suji, Elly and Diana (Ex-St. constantines members) poleni sana, We are with u in prayer.

    Ex school mate at SCS

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...