Kiongozi aliyedumu madarakani kwa muda mrefu kuliko wote barani Afrika, Rais Omar Bongo wa Gabon, amefariki dunia Jumatatu mchana wakati akipatiwa matibabu ya moyo katika hospitali moja huko Spain. Alikuwa na umri wa miaka 73.
Utata wa hali yake kiafya ulimea mwezi jana ambapo alipolazimika kuachia hatamu za madaraka kwa mara ya kwanza tangia mwaka 1967.
Alikimbizwa katika hospitali ya Quiron jijini Barcelona ambako alikata roho majira ya saa sita hivi na ushee. Ameacha pengo kubwa katika jamhuri ya hiyo tajiri kwa mafuta ya Afrika ya Kati.
Vyama vya upinzani nchini Gabon vimesikika vikilalamika kwamba mtoto wa kiume wa Hayati Bongo, Ali Ben Bongo, ambaye pia ni waziri wa ulinzi, amekuwa akiandaliwa kuchukua wadhifa wa baba yake, na wamehoji endapo kama ingekuwa vibaya kufanyika uchaguzi mkuu upya.
Habari za kifo cha Rais Bongo kimekanushwa mara kadhaa na serikali hadi pale Waziri Mkuu wa nchi hiyo Jean Eyeghe Ndong alipothibitisha katika taarifa ya maandishi.
habari si za kweli,HAJAFA
ReplyDeleteMAY THE ALMIGHT GOD REST YOUR SOUL IN PEACE. NI YEYE PEKE YAKE MWENYE HAKI KUHUKUMU.
ReplyDeleteMFANO MZURI KWA AKINA MUGABE. YOU WILL NEVER OUTLIVE YOUR COUNTRY.
I shed no tear for this tyrant. Africa will do well without him. I can't wait to see Mugabe and Gaddafi kick the bucket as well. It is time for the new generation of Africans to steer our future not some tyrants who steal our money and buy houses in Europe. Gambia is an oil rich country but the people have nothing to eat. What a shame!!
ReplyDeleteMdau, Tokyo, Japan.
Africa will be better place without him. One less thief of state to worry about. Maybe now teh Gambians will have enough money to eat.
ReplyDeleteI quote the BBC:
Mr Bongo was one of three African leaders being investigated for alleged embezzlement by a French judge. The others are Denis Sassou-Nguesso of the Republic of Congo and Teodoro Obiang Nguema of Equatorial Guinea.
It is alleged that the properties owned by Mr Bongo's family in France could not have been purchased with official salaries alone.
Mr Bongo denied any wrongdoing.
It's very interesting story....
ReplyDeleteI would like to see these scrapped tyrants to follows:
1. Mugabe - Zimbabwe
2. Museven - Uganda
3. Gaddafi - Libya
4. Tom Biya - Cameroon
5. Hosni Mubaraka - Misri (Egypt)
6. Abdulaziz Butafrica - Algeria
7. ...
One Down,Nine to Go!Gabon Unite for Democracy.Hii Biashara ya Kurithishana Uongozi wa Nchi lazima IKOME!
ReplyDeleteNakubali, huyu kiongozi alikuwa ni dikteta mkubwa mwenye ubinafsi wa hali ya juu sana na kutojali wananchi na yeye akajitajrisha kutumia mafuta na rasilimali za Gabon. Yeye na Mobutu, Banda na Mugabe wote wamedhalilisha nchi zao na kutia aibu bara letu. Ndio, hakuna machozi - miaka 42 ya kunga'nga'nia utawala na kukaba yeyote yule ambao angempinga, Afrika haitaji tena viongozi kama hutu. Hakuna ufalme hapa ya viongozi kutawala kwa maisha, we need new blood and ideas from the new generation of leaders! I bet you Bongo did not even know how to use a computer !!!!
ReplyDeleteSam -ATL
this dude ruled Gabon as it was his. He only let it go after being sick! He is gone, change has come.
ReplyDeleteWaziri wa Usalama wa Gabon ni mtoto wake, usishtuke kama kesho atakuwa "kiongozi" mpya wa Gabon. Wanafuata mifano mibovu ya Kongo DC. Madikteta wa Misri na Libya pia wanawatayarisha watoto wao wachukue madaraka wakifa. Afrika lazima tuamke.
ReplyDeleteMdau, Tokyo, Japan.
sawa tu wanae washike madaraka
ReplyDeletenyie shida yeni nini?mbona sie tuna tawala za kitemi/kichifu?ndo asili yetu
sio mimambo ya western countries
wezi watupu wazungu+obama
wanawaletea matatizo watoto wao tu
ReplyDeletekwakweli
Mdau wa Japan that is so myopic to think that it is only Gabon that cronyism is rife! Watoto wa vigogo wangapi wako kwenye system Bongo.... huo ushabiki mhishimiwa. The big man in Libya is doing fine!
ReplyDeleteMdau Mkulanga.
Ndio,unaweza kua na monarch lakini pia lazima kuwa na serikali inayochaguliwa na watu,lazima kuwe na demokrasia. huyu jamaa aliua demokrasia na ukumbuke,yeye hakua king,au kiongozi wa jadi(mtemi).yeye alikuwa President na pia hakutaka kuachia madaraka hadi anakufa.hiyo ni soooooooooo. wewe mdau unasema wazungu+Obama wezi, utaishia kusema hivyo hivyo na nchi za kiafrika bila demokrasia hatutafika popote.sasa jiulize,huyu jamaa wa Gabon,katika uongozi wake wa miaka 42,Gabon imenufaika na nini? ni mojawapo ya nchi maskini duniani! amka mdau.
ReplyDeleteSurprise! Surprise! Mtoto wa Bongo, Ali ben Bongo, Waziri wa Ulinzi, anataka "kugombania" uraisi wa Gabon. Baba yake ameshaweka njia safi tu kwake kuiba kura na kendeleza ufisadi.
ReplyDeleteHii habari kutoka BBC:
No current or former member of government should stand in forthcoming presidential elections in Gabon, say civil society groups in the country.
A correspondent in Gabon says the organisations are particularly concerned the son of the late President, Omar Bongo, will take over.
Elections are due to be held in the West African nation within 45 days.
Mdau, Tokyo, Japan