Home
Unlabelled
siri ya mafanikio ya afrika ngoma yafichuka
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!kamanda Ras Makunja na miwani mpya ya zahabu!
ReplyDeleteumependeza! ukirudi kariakoo lazima tukupore
Naona kaka braza Ras yupo chini ulinzi mkali, harafu ulinzi wako wanakuaga wanoko,hatumwi mtoto hapo na barua oh! mpelekee Ras" ni ulinzi tu,oh pole sana kaka.Sasa vipi vidoleni naona umechaka na bling bling?
ReplyDeleteSafi wazee wa vijembe lakini mbona hamwendi Bagamoyo?lau kusalimia ndugu jamaa na marafiki?
ReplyDeleteakili za kutawaliwa bwana! sasa unataka kutwambia kuwa mafanikio yao ni kwa kuwa wana tour manager wakizungu? kwani band zote zina tour managers lakini sio weupe, sasa unamaanisha kuwa ukitaka mafanikio na band yako basi tafuta tour manager mweupe au sio? akili za kutawaliwa hizo ndugu yangu.
ReplyDeletewawe na mamenejaz weupe au wesi! ukweli kuwa jamaa wanatisha,tena si wanamziki wa kuchezea kabisa !mziki wao mkubwa na wanapeperusha bendera kama hawana hakili nzuri
ReplyDeleteTuache utani! ngoma afrika aka ffu,
ReplyDeletekazi wanaiweza na wanakubalika kimataifa,kwani kama utawafuatilia sana utaona kuwa moto wao sio wa kitoto kidongo.
Mdau wa Uswid
wazee wa vijembe kazeni buti,cheche zenu ni kali tena tunazikubali,harafu kaka brother Ras umependeza na miwani yako mipya,vipi? umepewa zawadi!
ReplyDeleteeh! ffu ! mie nawazimia pale mnapoanza kupiga gweride lenu jukwaani! gwaride lenu aliachi mtu,
ReplyDeletekingine mnaponichana mbavu pale ras makunja anaporusha madongo yake
bila uruma!
ras makunja,kajama ketu kabishi,tena kina visa!anaponifurahisha yale maneno yake ya kucheza na lugha kabla ya show,unajua huyu alitakiwa labda awe mwanasiasa sio mwanamziki!
ReplyDeleteSema tu kufanya nae kazi lazima uwe na kichwa cha kijeshi jeshi.
bro,kaka ras makunja suti na miwani umependeza,sema tu kama mtu akikusachi mifukoni lazima utakuwa na madongo na manati,madongo lazima yawe tayari tayari au vipi?yule atakae kuanza basi unarusha tu
ReplyDelete