HABARI ZINASEMA KUMETOKEA AJALI MBAYA SANA YA BARABARANI NA WATU TAKRIBAN 20 WAMEPOTEZA MASIHA BAADA YA BASI LA ABIRIA LA MOHAMED TRANS LILIPONGANA NA GARI LA MIZIGO ENEO LA KOROGWE USIKU HUU.
GLOBU YA JAMII INAFUATILIA NA ITALETA HABARI KAMILI PINDI ZIKIINGIA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 27, 2009

    Tunaomba majina ya wahanga wa ajali iliyotokea Korogwe.Ni wakati Muafaka sasa kwa serikali kuweka sheria kali kwa vyombo vya usafiri wa Abiria,Kwani ajali za Barabarani imekuwa tatizo sugu.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 27, 2009

    Jamani serikali yetu inabidi iwe makini na hizi ajali zinazotokea mana watu wanakwisha....ila serikali inashangaza sana ajali ya mwakyembe iliundiwa tume sasa na hii sijui wataiundia tume au ndo kilio cha samaki machozi yanakwenda na maji???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...