Home
Unlabelled
bustani ya forodhani zenji mambo bulbul....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
ukiwa forodhani ndio unafeel hasa kama uko zanzibar, i really miss my home. ni vyema tukapatunza mahali hapa kwa vile ni miongoni mwa sehemu chache na muhimu za starehe.
ReplyDeletehttp://www.youtube.com/watch?v=I5ALIL7T764&feature=related
ReplyDeleteI didnt know Forodhani ilikua imefungwa,Chakula cha usiku kilikua kinaliwa wapi?
ReplyDeletesimply beautifull!
ReplyDeleteForodhani pamependeza sana kwa sasa, saa kumi inakabidhiwa rasmi Serikali, Kazi sasa ni kwa Manispaa kuitunza bustani kwama wataweza
ReplyDeletemdau kutoka zenj
Kwa mdau hapo juu aliyeuliza watu alikuwa wanakula wapi. Forodhani ilihamia pale mbele ya Africa House, ni sehemu nzuri sana tu, nice view ila ni padogo sio kama Forodhani yenyewe. Ila Forodhani has the best view, the harbour view, Bet-el-jaib, Ngome Kongwe, Sultan's palace and ofcourse the sunset.
ReplyDeleteI miss zenji but I'll be back soon Foro is the best place to relax and enjoy the best food the island can offer.you are always welcome to zanzibar the spice island!!!
ReplyDelete