Mzee wa nanihii habari ya wewe.
Tafadhali naomba nirushie tangazo langu kwa wadau.
Tafadhali naomba nirushie tangazo langu kwa wadau.
Tunahitaji secretary ambaye ana experience isiyopungua miaka miwili na (asiwe maimuna) mwenye kujua kuzungumza na kuongea kingereza kizuri. Umri wowote lakini usizidi miaka 30.
CV zote zitajibiwa ikiwa ni pamoja na kupewa taarifa zaidi na maelekezo zaidi.
Mwisho wa kutuma maombi ni Jumatano tarehe 8 / 7/ 2009.
Wenu Mdau.
Mwisho wa kutuma maombi ni Jumatano tarehe 8 / 7/ 2009.
Wenu Mdau.


Jamani hizi kampuni uchwara nazo kero tupu, muwe mnaajiri ma HR, maana mtumaji tu sijui ndo bosi communication skills zero kabisa, hawajaweka hata location sasa si ni makubwa haya mtatujibu dunia nzima kwa kazi ya kigoma!
ReplyDeleteKaka linapokuja swala nyeti hivi la ajira usikubali matangazo "ya hovyo hovyo" kama hili. Hakuna kitu kinaitwa "wenu mdau" katika soko la ajira. Ni lazima muajiri mtarajiwa ajitambulishe vyema na afuate taratibu za kisheria katika usaili na utoaji wa ajira. Swala la kazi ni la kisheria zaidi kuliko la kijamii. Kuna uwezekano mkubwa kabisa mtoa tangazo anataka kuwarubuni dada zetu. Ni hayo tu, usinibanie...
ReplyDeleteNDUN'GANI NAKAIYO DONGO S.L.P. 4 KIBAYA-KITETO MANYARA TANZANIA
Secretary Akija JIbaba limoja Tambi hilo miaka 25 msimkatae kama vyeti vyake vimetulia mchukueni msifanye ubaguzi wa jinsia sababu hapo hamjaweka mwanamke au mwanaume ila nafikiri kwa namna mlivyosema asiwe juu ya miaka 30 nyie mnataka mdada nyie. yule aliyekuwa anatafuta kazi humu pengine duwa yake imekubalika mchukueni. au kama naye alikuwa anatusanif atakuja kupata tabu mbele. Pazi.
ReplyDeleteNaona Mdau hapo ana practice age discrimination jiendeleze kimawazo mdau
ReplyDeleteAge discramanation!!! why under 30 years old?
ReplyDeleteKwa yoyote anaehusika. umeweka tangazo la kuhitaji karani, ila cha ajabu hujasema company gani inayohitaji wala sehemu ambayo huyo secretary anatakiwa, tanzania. asia,europe au america? maana mtu anaweza kua anataka hiyo kazi ila hajui ni nchi gani atafanyia.
ReplyDeletehebu jaribu kuongezea information za sehemu anayotakiwa kufanya kazi nk.
Hii sio dili kwa akina dada tu kwani haijasema kuwa mwombaji ni lazima awe mwanamke!! kwa hiyo mzee wa libeneke usiwazibie bahati akina kaka. tangazo linataja sifa tatu: tajiriba, kiingereza , na umri. kina kaka pia changamkia tenda!!
ReplyDeleteWacha kuchengua watu wewe. Kazi iko nchi gani na wapi? Wewe unadhani mtandao upo hapo ulipo wewe tuu eee?? Acha kulala. Amuka.
ReplyDeleteaisee hii kali
ReplyDeleteUmri wowote, asizidi miaka 30?
P.E.D
huu ujumbe haijatulia kabisaa
ReplyDeletemtumaji wa ujumbe huu hajatulia. yaani email: yaani kweli; just like that. please acha utani na blog yetu
ReplyDeleteNi vizuri ikijulika na kampuni gani au mtu gani anahitaji hii huduma au atleast ni sector gani husika ilkupata mtu muafaka zaidi. Kwa mfano kama ni hospitali unahitaji mtu anayejua ku handle nyaraka zi ki hospitali.
ReplyDeleteHili tangazo mbona lina ubaguzi wa kijinsia? Kuna wanaume kibao wahazini wana uwezo wa kumfanyia kazi vizuri tu mdau.
ReplyDeletelocation, location, au ni ujumbe 419 toka nigeria?
ReplyDeleteMdau
Kiparamoto,
Mgeni-nani Mbagala DSM.
hivi bongo bado kuna age discrimination kwenye kazi hata ya u-secretary?na tangazo linarushwa live kwa michuzi bila hofu?hahaha,ama kweli bongo tambarare...
ReplyDeleteHili tangazo kwakweli linachanganya sana.
ReplyDeleteje! huyu mtafutaji anatafuta secretary au anatafuta secretary mwanamke? Anasema umri wowote halafu anatoa umri wa juu wa muombaji. Sasa hapo haiwezekani iwe umri wowote. Ameshasema umri usizidi miaka 30.
Age discrimination!
ReplyDeleteNadhani ujumbe pamoja na mtumaji mwenyewe vyote havijatulia! Kinachotakiwa kujibiwa ni barua au CV? Nisaidieni wadau.
ReplyDeleteMtumaji wa huu ujumbe hujatulia unahitaji Feni.Ok, Sasa wale wasio na utaalam wataupata wapi? maana kila tangazo wana limit awe na ujuzi usiozidi miaka kadhaa. Ni nani atamkubali yule anayetoka chuo asiye na utaalam wowote ndio kwanza anatafuta msingi?
ReplyDeleteHuyu anatafuta mke au mchumba?
ReplyDeleteSCAM, jamaa anatafuta vibint!
ReplyDeletehakika wewe unatafuta mchumba!!! Mbona wewe umeandika Kiswahili???? Nahisi unataka akufunze kingereza ukiwa nae
ReplyDeleteWeweee!!! Hiyo ni Company gani anayetangaza hata haweki vigezo vyovyote??? Wewe mwenyewe unaonyesha ni maimuna kwanza then haujaelimika...Hebu usituchekeshe
ReplyDeleteMtu anayejua kingereza vizuri kamchukue UK kama unataka.......coz wabongo hawajui vizuri najua wengi ni I MEAN I MEAN nyingi kwahiyo hawatakufaa. Weshazoea lugha za kibantu kingereza hawajazaliwa nacho ni chakusomea tuu....
ReplyDeleteSalary scale????????? Maana kuongea kingereza si mchezo ukumbuke kuwa sio lugha yetu hiyo mtu atakuwa ametuliza kichwa sana kujifunza.
ReplyDeleteI agree with all the anomymous who argued about age!!! In this era kweli we still discriminate about age in Tanzania??? Ingekuwa ni huku nchi za watu ningeelewa kwa sababu wana historia ya kudiscriminate lakini they don't kwa sababu watashtakiwa. We need to change this and give jobs to the people who qualities regardless of their age. Labor rules za kijinga hivi zinabidi kupitiwa and be updated. It's a shame!!! Kama niko 35 but I look 25 nikija hapo kweli ungeninyima ajira citing age?
ReplyDelete