TAS ya Tampere iliweza kubebwa na refa ambaye ni shemeji ya mmoja wa wachezaji wao kwa kupewa penati tatu, penati mbili wakapata magoli na penati moja iliokolewa na kipa wa FC BONGO Steve Mashallah ambaye alikuwa ni nyota wa mchezo huo uliochezwa katika kiwanja cha mazoezi cha FC Bongo kijulikanacho kama (Vumbi Stadium).
Pichani Kipa wa Fc Bongo Steve Mashallah mwenye jezi ya orange akiokoa kona. Picha zaidi tunamuomba Edo Ndaki wa Tampere atushushie kwa michuzi.
Habari na Michuzi correspondant
Helsinki.
Edo Ndaki kaondoka helsinki jana na kilio ataweza kutuma picha kweli?
ReplyDeleteSteve Mashala ametuonesha kwamba ye ni kipa nambari 1 hapa Nordic na hana mpinzani.
ReplyDeleteTimu ya FC Bongo iliocheza leo,imecheza vizuri na kwa maelewano sana,naombea vijana ndio wangekutana na Kilimanjaro FC
ReplyDeleteVUMBI STADIUM, ha ha ha ! hilo jina mmenikumbusha chang`ombe jamatini.
ReplyDeleteSasa na wao watamwekaje shemeji kuchezesha mechi ngumu namna hiyo?
ReplyDeleteHeheheeeee! Sasa hao Bongo FC walibanjuliwa nane kwa moja (8 - 1)na Kilimanjaro Fc ya Sweden: Kwahiyo kwa hesabu za haraka haraka ni hivi: Kwa kila goli moja walilofunga Bongo Fc dhidi ya THE KILIMANJARO wao (Bongo FC) walimanuliwa manane (8). Lets see: kwahiyo roughly speaking: KWA KILA GOLI WANALOFUNGA BONGO FC HUWA WANATAKIWA WAFUNGWE MAGOLI NANE NA MPINZANI WAO (KUTOKANA NA UBOVU WA TIMU YAO HAWA BONGO FC) THEN FROM THAT BASE: TASS WAO WANGECHEZA DHIDI YA THE KILIMANJARO WANGEMANULIWA (HAWA TASS I MEAN) MAGOLI 8 X 3 TO MAKE IT 24!HENCE PROVED MATHEMATICALLY!!!! OOH NOOOO! MNH, LOL!!!!
ReplyDeleteMagoli yalikua 4-2, mwandishi kakosea, magoli ya FC Bongo yalifungwa na Sami na John kipindi cha kwanza na kipindi cha pili yalifungwa na Adam na Ali.
ReplyDelete4-2 sio 3-2
ReplyDelete