pamoja na kuwa vekesheni mdau ayoub mzee yuko bize kukusanya taswira kwa ajili ya Ben TV ya London anakofanyia kazi. hapa akimrekodi mkongwe john kitime a.k.a JFK wa njenje
waziri ally wa kilimanjaro band 'wana njenje' hataki kuamini macho yake wakati anko nanihii akimsaidia kupapasa kinanda usiku wa kuamkia leo ukumbi wa new msasani club. hapo ngoma iliyokuwa hewani ilikuwa 'jojina' ya marijani rajabu

du! bro utani huu, unayaweza kweli au watuzuga, haya basi tuanzishe njenje academia
ReplyDeleteMkuu wa nanii ya nanii hio ndio T-SHIRT yetu mpya ya Globu ya jamii?
ReplyDeleteHiyo t-shirt ya mdau wa nanihii imeknyaga white house ya amerika! Hiyo t-shirt ni (aka) au synonymous na anko nanihii....mimi nitapataje hizo t-shirt mdau?
ReplyDeletemichuzi unacheka tu hapa unajua kilichowatokea bwawa la maini huko?wajukuu wa hitler hawana utani aisee!ball possession ni 90 kwa 10,loooooo lo lo loooo lo!rpid wien 1 livepool fc 0000000000000,
ReplyDeletemkuu ayub Mzee misafara kama hii uwe unakwenda na shemeji yetu SUSAN MZEE.au kwa vile ana majukumu ya chama mmeshindwa kwenda pamoja.
ReplyDeleteze fulanazzz ina rangi za kike tupu asa iyo pink
ReplyDeleteduh...acha utani waweza papasa kweli au uzushi tu