Home
Unlabelled
JK azindua kituo cha mkongo wa fibre optic wa seacom leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hebu waekee wabongo pia waone hii. Msije mkaweka hela kwenye vibank uchwa huko vijijini
ReplyDeletehttp://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8164842.stm
Sad sad sad
Asanteni sana kwa huo mkonga. Sasa kutandaza fibre-optic cables kwenye miji mbalimbali tunaanza lini? Manake kuwa na inter-country connection wakati within the country hatuna connection nzuri bado gharama zitakuwa juu na kwa maoni yangu tutakuwa tuna-under utilise capacity ya hiyo under sea cable. For the moment, well done! For the future, we have to work had!
ReplyDeleteMdau,
Gothenburg,
Sweden
Inawezekana huyu ndugu mfupi wa kushoto anaitwa Ngonyani? nilisoma na mtu ambae amefanana sana nae.
ReplyDeleteVile Vile tulifanya kazi pamoja Chuo cha Kilimo Morogoro
weka japo karamani ka cable netwok!
ReplyDeletehttp://www.francetelecom.com/en_EN/finance/news/cp090609en.jsp
http://manypossibilities.net/african-undersea-cables/
Mdau uliyetupa link ya bbc news asante sana, sasa swali ni moja tu, serekali ya uganda ilikuwa wapi, watu hawa kufanya shughuli zao kwa miezi miwili bila kugundulika kama ni matapeli!?? inasikitisha sana wameibia wananchi masikini kabisa wa vijijini, Mungu atawalipa mali zao inshaallah.
ReplyDeletevipi mbona wadau wetu akina web designer eng,networking eng,na yule mdau wa Phd pale geneva,na wadau wengineo porthmouth UK na pale yule dada wa pale Germany.amtoi coment zenu.
ReplyDeleteMdau-Viena
we! mdau. Huyo ni Sir. G. Kahama sio huyo uliyesoma nae..
ReplyDeleteSasa angalau Tanzania itasogea, maana tulikuwa nyuma mno, Ila naomba serikali ihamasishe wadau kuchangamkia fursa za mradi huu. Nawasilisha
ReplyDeletehotuba yenyewe tu JK asoma kwa kiinglishi mdau 10:07am nani sasa aelewe?
ReplyDeletechonde umeme na miundombinu ya bongo
..Sir?????...wee annon fafanua
aibu tupu
Sorry Guys My swahili is not all that good. and my comment is a bit too late. My point is this when SEACOM finally brought the fibre optic connectivity to Tanzania, every one got exited, especially those who live abroad, who wants to do business in East Africa and the rest of Africa. SEACOM promised high speed broadband connectivity, I was when I spoke to one of the guys who is running an internet cafe in Dar es salaam, I was told that the average internet user or a home user is still limited to 512kbs now that is what I call dark ages what can you do with 512kbs. The minimum should be 2MB.
ReplyDeleteThe question is when will a home user get to this level?
...normally we Tanzanian are expecting the cost of browsing to be cheap to all especially to students who can access internet at home with their PIII desktops and above all the speed should be ok, Hapa kwa kweli wahindi na mobile phone coy's watavuna sana bila kusahau wahindi then mswaada utajadiliwa bungeni 2015.
ReplyDeletethanx 4 the great informations, be blessed !
ReplyDeleteTunakushukuru prezz da wetu ila na kilichobaki umeme mkuu fanyachonde
ReplyDeleteMkongo utaleta maendeleo iwapo utatumiwa kwa ajili hiyo, lakini kama watu ndio watalala kwenye pc kwa ajili ya FACEbook na picha z angono basi wagonjwa watazidi kufa maana madaktari watakesha online ni vilonga wima vyao
ReplyDeleteMdau