JK akiongozana na Mfalma Mswati III wakiingia katika ukumbi wa Speke's Bay Resort huko Muyoyo, Kampala kwenye mkutano wa Global 2009 smart Partnership Think Tank Dialogue leo asubuhi ambako viongozi wa kadhaa wa SADC wamekutanika toka juzi
Mama Salma kikwete akipokewa na Mama wa kwanza wa Uganda Janeth Museveni kwenye mkutano huo katika ukumbi wa Speke's Bay Resort, Kampala leo
Mama Salma Kikwete na Malkia Matsebula wakiongea kwenye ukumbi wa Speke's Bay Resort Kampala kwenye mkutano huo wa global 2009 smart Partnership Think Tank Dialogue



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 28, 2009

    Du naona kitenge chako kizuri mama SJK! Na wewe mwenzangu pia malkia MMus. naona kitambaa chako kemependeza! Wewe unafikiri wakina mama wanaambiana nini zaidi ya wewe na wewe na wewe? Au unafikiri wanaambiana tubadilishe katiba, tuongeze muda kama nyie kwani kuna utamu na biashara fulani kule W.house?

    Mimi sio stereotype...lakini natoa hoja tu!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 28, 2009

    Kwa mara yangu ya kwanza leo nitamsifu mpambaji wa vazi la Rais kama yupo, na kama hakuna basi nitamsifu aliyempa ushauri wa hicho kivasi ,kama sio mwenye kwani nguo zimemechi rangi zake pia zimemkubali na mwili wake kwa maana nyingine zimemtowa kama wanavyosema wabunifu wa mitindo ya nguo wa ulimwengu wa kwanza, nguo nilazima ioneshe apiyarensi yako.nice ona hongera

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 28, 2009

    Mi nashauri wa-organize fashion show ya maraisi wa Africa, nathani Jk na mfalme wa Lesotho pamoja na Swaziland watashinda, soo ni pale Museveni atapotembea stejini maana ana kitambi kikubwa au Mwai Emilio Kibaki za mchuchumia au Mzee Bob za robitic!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 28, 2009

    Alivokuwa ticha pale skul kwetu enzi izo mzee ajatimba pale kivukoni alikua bomba ile ile,nashangaa ucku izi!
    Mama kama vp uzulia gym punguza unene,ili uendelee kushika TZ-One.
    By mdau Mbeki!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 28, 2009

    Unajua mimi nilikuwa sijui wamevaa nini mpaka niliposoma hizi comments. Mnajua sana kuchunguza umevaa nini,umekula nini, mmmh,lakini kuuliza nini walichojadili na kina manufaa ganii kwa nchi mmmh, eti twaogopa. Sie tumezoea kuwasifu viongozi tu `zidumu fikira..,
    `hekoo chama chetu, sisiemu chama chetu..Tuendeleze juhudi chama zilizofanywa na wazazi wetu, hongera heko chama kwa..ungozi thabiti heko chama...

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 28, 2009

    Namuunga mkono anon wa Tarehe Tue Jul 28, 02:11:00 PM, Mtoa Maoni: Anonymous: Ukiangalia sana mikono ya mama wa kwanza wa Uganda, hapa namwita MMus (mama Museveni), utaona anamwambia mwenzake nguo zimependeza, unakula nini mwenzangu siku hizi nk. Na pia anamwambia ona mwenzako mimi huku ikulu nimekaa miaka nenda miaka rudi kwa sababu mzee kabobea na alitaka kubadilisha katiba awe raisi wa milele. Pia alitaka kuona muungano wa nji za afrika mashariki unafanyika haraka ili mimi niwe the very first "first lady" wa nchi tatu (au tano?). Pia MMus anasikika akimwambia mwenzake, kwani wewe huwezi kumshawishi mwenzio mkabadili katiba mkaendelea kuongoza nchi...Si unaona ulivyopendeza na kitenge chako? Na SKJ, anajibu mwenzangu nchi yetu siku hizi sio ya zamani, watu wetu wote wameamka. Lakini na wewe mwenzangu MMus kitambaa chako chekundu kimekupendeza.
    Naomba kutoa hoja

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 28, 2009

    Matsebhula anafanana na raisi J.K., kama ndadake vile.

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 29, 2009

    Malkia wa Lesotho anamwambia mama Salma"Mreuu kwa kichagga a.k.a shosti mbona umependeza hivyo?"mama Salma anajibu"hamna lolote shosti si unajua tena...mwanamke kujipenda,hebu na wewe changamka kabla baba hajaleta kabinti kengine."

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 29, 2009

    my waifu wa mseveni no mvuto kabisa ka dume

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 29, 2009

    Jamani kwa watu wanaomfahamu vizuri mama salma kikwete nafikiri watakubaliana nami kwamba siku hizi mama anapungua kidogo, mwaka mmoja nyuma alikuwa mnene mno, hongera mama, na wewe anon unayesema mama museveni hana mvuto labda humjui vizuri, huyo mama ni mzuri sana, embu tembelea http://www.statehouse.go.ug/ halafu angalia photo gallery then utajua unachokisema

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 29, 2009

    Janet anamwambia Salma kwamba ingawa yeye ni m-Islamu asisahau wosia wa Mama Laura Bush, waliopewa wakiwa wageni wa Laura kwa nyakati tofauti, kuhusu ya dini ya kilokole kudhibiti ukimwi!

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 30, 2009

    duh babkubwa mh kikwete umependeza sana,c unacheck alivyotoka kijanja hilo tenge mm mwenyewe nimelizimia.nadhani mheshimiwa uvae hivyo popote utakapokwenda kua ni kama utambulisho wako tenge havi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...