profesa baregu (kulia) akiwa na tahir haroub othman
kwenye hafla ya kumkumbuka profesa haroub othman
ukumbi wa nkrumah hall mlimani dar.
kuna wadau wameomba mjadala wa kama inaswihi ama la kwa wanaharakati kama Che Guevara kuenziwa kiiivyo katika zama hizi, wakidai kwamba wengi wa watu hao sera zao zimefeli...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 29, 2009

    ZIMBABWE WALIKUWA HOI BIN TAABAN SASA WAMEANZA KUTUACHA KWENYE MATAA MAMBO YAO TARATIBU YANAANZA KUNYOOKA.INATUFUNDISHA NINI HII WATANZANIA? SOMA MWENYEWE:

    Regional landscape: Good reasons to believe that worst is over for Zimbabwe
    ROELOF HORNE
    PUBLISHED: 2009/07/28 07:02:59 AM
    ONE advantage of hitting rock bottom is that things are bound to get better from there. The authoritative Washington publication, Foreign Policy, recently rated Zimbabwe as the second-worst failed state in the world (after Somalia). But after watching 10 years of economic destruction in Zimbabwe, there are at last clear signs of a turnaround. The news flow from Zimbabwe does not always help to form a balanced view — between the shameful propaganda of the state- controlled media and the jaundiced eye of perpetual doom-mongers, there is a story that is not being told. Having visited Harare recently, here are some observations.

    n The demise of the Zimbabwe dollar has solved many problems. I have a Z100-trillion note in my wallet. I also have last year’s company results for one of the bigger banks reported in quintillions of dollars (that’s 18 zeros!). The comparative column is blank: all zeroes, as the 2007 numbers, having been eroded by hyperinflation, are too small a fraction to count. Towards the end of last year, prices were going up 100% a day, so owning any cash or having a positive bank balance was ruinous. Employees were queuing for days to get their salaries out of bank accounts while faced with restrictive (government-imposed) daily withdrawal limits.

    So what happened to the Zimbabwe dollar? The population spontaneously abandoned it late last year, turning to barter, fuel coupons and (later) foreign currency instead. By the time the transitional government announced the demise of the Zimbabwe dollar, it was simply blessing what had already become the norm. The change to US dollars (in Harare) and the rand (the rest of the country) had two important results. It launched a business revival and stopped hyperinflation (by stopping the printing presses, thereby limiting the amount of money chasing goods and services).

    n Business is booming. Business leaders are almost absurdly optimistic about conditions in Zimbabwe. This should be seen in the context of conditions last year: business time and personal time was consumed by one thing — keeping afloat in a fast deteriorating environment. Apart from banking, stock, pricing, energy and staff problems, they....
    Soma zaidi kwenye link hii:
    http://www.businessday.co.za/articles/Content.aspx?id=77014

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 29, 2009

    Angalau sera ya Uzalendo bado inafaa hadi sasa ingawa viongozi wengi hasa wa Afrika hawaifuati.

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 29, 2009

    sera za kina che zilikuwa ni kukataa ubeberu, kukataa kutawaliwa na kudhibitiwa(au kuwa dominated) kiuchumi, kisiasa na kiutamaduni. walikuwa wanakataa hali hii tuliyo nayo sasa, ambayo tumeikubali sasa, kwamba mali za asili kama madini yetu vinawafaa wageni kuliko sisi, walikataa mipango ya maendeleo ambayo inatokea washington na london badala ya dodoma na dar es salaam, walitaka kujipangia mambo yao wenyewe. Tulipuuza, tukasikiliza zaidi wanavyotuagiza "wakubwa", matokeo yake tumekuwa maskini zaidi.

    dmk

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 29, 2009

    watu hawamjui vizuri huyu guevara,google views zake kuhusu watu weusi.Ubaguzi mtupu!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 29, 2009

    Dodoma na Dar ilikuwa hivyo miaka yote at least sasa unaweza kupata Deo kupunguza kikwapa na chupi za mtumba zinapatikana kila mkoa.
    Limbukeni mbeba mabox

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 30, 2009

    INASHANGAZA KUONA WATU WANAMPAPATIKIA HUYU MUUAJI MKUBWA CHE GUEVARA. AMECHINJA WA-CUBA WENGI SANA, UNATAKIWA UONGEE NAO ILI UELEWE NINACHOSEMA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...