Home
Unlabelled
shein atembelea mabanda ya maonesho ya biashara sabasaba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
SWALI LA KIZUSHI: ninajua kuwa viwanja vya maonyesho ya kimataifa ya biashara ni viwanja vya wazi na hivyo hakuna viyoyozi na kwamba huu ni msimu wa jotojoto hapo dar. picha za viongozi/watawala wetu wanaotembelea maonyesho (kama hii) zinaonyesha wakiwa wametinga suti ya ulaya. Je, hii suti haiwapi tabu kutokana na joto la Dar wakati, kwa bahati, sisi tuna suti mbadala ya kiafrika ambayo inaweza kuwapa nafuu na bado wakaonekana nadhifu? Au kuna sheria katika katiba kuwa ni lazima wavae kama Bw. Brown!!!
ReplyDelete