Kama upo Kazini au Nyumbani tembelea MK Music Galaxy kwa ngoma mbali mbali kali na nzito toka Tanzania ili uburudishe na ukonge roho yako kwa idadi ya miziki zaidi ya 1000+

Kama ni kijana, Umri wa Kati, mzee na upo Tanzania au nje ya Tanzania MK Music Galaxy ni chaguo lenu wote, Kuna miziki kama Bongo Flava, Bongo Dance, Taarab, Zilipendwa na Nyimbo za Injili.

Karibu kusikiliza ngoma za Tanzania na uburudike roho yako. MK Music Galaxy hatufuti Miziki ili kuongeza mingine, MK Music Galaxy tunaongeza Miziki kila siku na kuutangaza Mziki huu wa Kitanzania.

Kwa wanamziki chipukizi (underground) na wale wakongwe mnaweza kutuma kazi zenu hapa na kuweza kujitangaza na kuutangaza Mziki huu wa Tanzania.

Kwa test bonyeza hapa kula song hizi Kali. Au Tembelea MKMG kusikiliza miziki zaidi ya 1000


1:


2:


3:


4:



Daima tupo Pamoja.

MK Music Galaxy - Exploring The Tanzanian Music.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2009

    sijajua nani KIBAKI nani ODINGA, yupi anayetaki kubaki wakati raia wanampiga, mbuyu kabla hujawa mkubwa ulikuwa kama mchicha,
    hata jogoo alikuwa yai thay why hampati picha,

    ReplyDelete
  2. Bongo-HipHopperJuly 22, 2009

    Kijana Geez-Mabov, wakilisha Dirty South Iringa!!!! Kijana vina vimetulia.

    ReplyDelete
  3. mkali-bongoJuly 22, 2009

    Nani kasema Bongo hakuna HipHop?? Hiyo ngoma no.1 ni kali akuna tena. Hiyo ni beat ya wakali wote, Geez Mabovu, Fid Q na mzee mzima wa Ilala-Chidi Benz.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 22, 2009

    Kweli masela hiyo ngoma no.1 hakuna tena, kali kishenzi yaani nilivyosikia tu, nilipiga kama mara 6 hivi..mabovu,chid benz, jmo na fid q wanatisha kinoma...Hii blogu ya miziki pia ni nzuri kishenzi kila kitu kipo kwa mpangilio na track zao zimekwenda shule, hakuna blogu kama hii bongo nzima. Big up.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...