anko nanihii akiwa katika send-off ya anitha na dennis



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 13 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 10, 2009

    jamani acheni kuyafanyia vimbwenga mavazi ya heshima, mnayavaa kwenye ulabu

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 10, 2009

    Kwahiyo walikuita TA-MICHUUUZI?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 10, 2009

    hapana mwenyekiti, hapo ulikwenda kinyume na waroma sababu mwenye send-off (bi harusi mtarajiwa) ni mchagga na si muhaya.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 10, 2009

    Mhh,änko nanihii, mbona umefanana na majuto!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 10, 2009

    mimi nilidhani kila mnuso ni fulanzzz na jinsi!! kumbe ukienda kwingine hashima inakuwepo!!

    Baba J

    Barazani

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 10, 2009

    Michuzi, Michuzi , Michu kwenye harusi za watu wengine unavaa ze fulanazi lakini kwenye Send off unavaa ze kiheshima. Kulikoni yakhe na huwa na malengo gani atii. But is fine.

    ReplyDelete
  7. AnonymousJuly 10, 2009

    uku send-off kule kwingine "my hazbendi wake"

    wapi na wapi??

    ReplyDelete
  8. AnonymousJuly 10, 2009

    mi nikajua ni sherehe ya kushangilia mmepewa ruksa ya kuendesha mahakama ya kadhi.kumbe nnuso ulikua mpambe

    ReplyDelete
  9. AnonymousJuly 10, 2009

    Sendoff ya Anita Denis???!!!! Huyo ni mkristo iweje uende na kanzu??? Siuseme kama ni wewe ulikuwa unafunga ndoa kaka Michuzi…Usitubanie mnuso..

    ReplyDelete
  10. AnonymousJuly 10, 2009

    sisi wahaya kwenda ukweni lazima tuvae hivyo ndoo nguo ya heshima kule kwetu kanyigo na kagera kwa ujumla mwakola waitu.


    by mtani Omoro

    ReplyDelete
  11. AnonymousJuly 10, 2009

    Ni mavazi rasmi kwa wenzetu wa Uganda send off inaitwa kwanjula hasa baganda wana wa kabaka

    ReplyDelete
  12. AnonymousJuly 10, 2009

    mkuu umependeza! tena harusi hiyo utafikiria ya kwako! Fulanazzzzzz!!!! vipi?

    ReplyDelete
  13. AnonymousJuly 10, 2009

    hahahhaa michuzi kafanana na mzee majuto hiyo kali.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...