On August 1, 2009 a Zanzibari Reunion gala was held in Toronto at the Hilton Hotel which was attended by about 350 Zanzibaris from all around the World.The evening was fully filled with memories,entertainment and above all reviving the Cosmopolitan brotherhood amongst the Zanzibari Community.
Pictured are is John De Silva (left) and Narendra Gajjar both ex-staff of Tanganyika Standard Newspapers Limited. John was the Staff Sports Reporter and Narendra was Staff Photographer for the Daily News.
Mdau of Toronto


Si mnaona wenyewe.
ReplyDeletemdau si ututumie na picha nyiungine basi wengine kuna ndugu zetu huko tungependa kuwaona
ReplyDeletehao nao wanzanzibari? au ndo uandishi wa kisasa picha na habari....maji na mafuta.....!
ReplyDeleteAcha ujinga na ubaguzi wa rangi Anony 11:52 PM. Wahindi pamoja na Wamanga wa Oman/Yemen walikuwa Zanzibar zaidi ya miaka 100. Mbona husemi kwa nini kuna rangi yako nyingi ughaibuni? Je, wao pia maji na mafuta? Utakonda sana na vumbi.
ReplyDeleteTaja Magogo Yote...Lakini La Mbuyu Si La Mvule!
ReplyDelete